Skip to main content

Posts

Showing posts from June, 2021

Utacheka//Maneno ya Kingereza yalivyowashinda kwa Kiswahili.

Wahudumu wa kujitolea Ruvuma wapewa msaada wa Baiskeli 15.

Miongoni mwa wahudumu wa kujitolea mkoani Ruvuma waliopewa msaada wa baiskeli 15 kutoka kutoka shirika la SATFkupitia ubalozi wa Marekani. Katikati ni Mwakilishi wa Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma ambaye pia ni Mkuu wa Wilaya ya Songea Pololet Mgema akikata utepe kuzindua baskeli 15 zilizotolewa na ubalozi wa Marekani kwa wahudumu wa kujitolea Mkoa wa Ruvuma. Na Albano Midelo Afisa Habari Mkoa wa Ruvuma Wahudumu 15 wa kujitolea ngazi ya Jamii ambao wamekuwa wanafanyakazi ya kuwasaidia watoto wa kaya masikini 423 mkoani Ruvuma wamepewa msaada wa baiskeli ili kuwasaidia kutoa huduma kwa jamii. Msaada huo umetolewa na Shirika la Social Action Trust Fund(SATF) kwa udhamini wa mfuko wa dharura wa Rais wa Marekani wa kupunguza makali ya virusi vya UKIMWI(PEPFAR), kupitia mfuko wa Balozi wa Marekani nchini Tanzania. Akitoa taarifa kwa Mwakilishi wa Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Pololet Mgema katika hafla fupi iliyofanyika kwenye viwanja vya Ofisi ya Mkuu wa Mkoa mjini Songea ,Mwakilishi wa Mkurugenzi wa SATF...

Wazee wa Mkoa wa Ruvuma waunda Baraza la Wazee.

Wawakilishi wa wazee wa Mkoa wa Ruvuma kutoka wilaya  zote tano wakiwa katika kikao maalum cha kuunda Baraza la wazee wa Mkoa pamoja na kuchagua viongozi watakaoongoza Baraza hilo ngazi ya Mkoa wa Ruvuma. Mwakilishi wa Katibu Tawala Mkoa wa Ruvuma ambaye pia ni Katibu Tawala Msaidizi Utawala na Rasilimali watu akifungua kikao maalum cha uundaji wa Baraza la wazee Mkoa wa Ruvuma na kufanya  uchaguzi wa kuwapata viongozi watakaoliongoza baraza hilo ngazi ya Mkoa. Na Albano Midelo Afisa Habari Mkoa wa Ruvuma Wazee wa Mkoa wa Ruvuma wamefanya kikao maalum cha uundaji Baraza la Wazee la Mkoa kilichofanyika kwenye ukumbi wa mipango Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma mjini Songea. Waliochaguliwa kuunda Baraza hilo kwenye uchaguzi ulishirikisha wawakilishi kutoka wilaya za Nyasa,Mbinga,Songea,Tunduru na Namtumbo ni pamoja na Mwenyekiti wa Baraza la Wazee Mkoa amechaguliwa Elenzian Nyoni kutoka Manispaa ya Songea. Wengine waliochaguliwa ni Lusiana Nduguru kutoka Halmashauri ya Mji wa Mbin...

Furahi na Watoto wakicheza Ngoma ya asili, Staili yao utaipenda

Sababu Vifo vitokanavyo na Uzazi na Vifo vya Watoto//Watoto 613 walipote...

Wakulima wa Pamba wawaondolea uvivu Wanunuzi mbele ya RC//Bei yawakonga ...

Viwanja 8725 vimepimwa kipindi cha 2020/21 ukilinganisha na Viwanja Elfu...

Watumishi Idara ya Ardhi Zingatieni Maadili//Epukeni Rushwa

Bibi Emma Sina Nauli ya kwenda Dar Kwenye Mechi

RAIS DK.MWINYI NA MAADHIMISHO YA SIKU YA DAWA ZA KULEVYA DUNIANI.

Mkurugenzi Mtendaji wa Tume ya Kitaifa ya Kuratibu na Udhibiti Dawa za Kulevya Kanali Burhan Nassor. Na Abdi Shamna, Ikulu Zanzibar Postal Address: 2422 Tel.:0777476982. Fax: 024 2231822 E-mail: abdya062@gmail.com RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi, amesema wakati umefika wa Wazanzibari kuungana pamoja katika vita dhidi ya usafirishaji na matumizi ya Dawa za kulevya pamoja na kuvitaka vyombo vya Ulinzi na Usalama kufanyakazi kwa weledi na ufanisi. Dk. Mwinyi ametoa rai hiyo leo katika kilele cha Maadhimisho ya Siku ya kupinga matumizi na Usafirishaji wa Dawa za Kulevya Duniani, hafla iliyofanyika katika Ukumbi wa Sheikh Idrisa Abdul-wakil Kikwajuni Jijini Zanzibar. Amesema ili kufanikisha mapambano dhidi ya dawa za kulevya kuna umuhimu wa jamii kuungana, huku akivitaka Vyombo vya Ulinzi na Usamala pamoja na taasisi nyengine zinazohusika na mapambano hayo,ikiwemo Jeshi la Polisi, Mahakama na Ofisi ya Mkemia Mkuu kufanyakazi kwa misingi ya sheria...

Jeshi la Polisi lanyooshewa Kidole kitendo cha kutoa dhamana kwa Watuhum...

"Kwenye Mazoezi unaweza kukutana na Mtu akawa Rafiki,Mpenzi,Mchumba na b...

Mradi wa Hewa Ukaa ulivyowezesha Kaya 4000 kupata iCHF//Changamoto wanaz...

RC Mrindoko afanya ziara ya kushtukiza Soko Kuu na Buzogwe//Abaini uzemb...

Ukienda Hospitali ya Rufaa Katavi zingatia haya//Wataalamu wa Afya wapew...

Tamasha la Mashindano ya Kimataifa ya Marathon hapa Nchini kutavutia waw...

ALIYEKUWA DC MLELE AMUOMBA DC MPYA KUSIMAMIA NA KUMALIZIA MIRADI INAYOENDELEA.

  Na. Swaum Katambo Katika makabidhiano ya Ofisi,aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Mlele Rachel Kasanda amemuomba Mkuu mpya wa Wilaya hiyo Filberto Sanga kusimamia vifaa vinavyotakiwa kuletwa kwa ajili ya ukamilishaji wa ujenzi wa Hospitali za Wilaya zilizopo Mlele na Mpimbwe ili ziweze kufanya kazi vizuri pindi zitakapomalizika. Kasanda amemuomba DC Sanga pia kusimamia kwa ukaribu ukamilishaji wa Ujenzi wa Kituo cha Afya Ilunde kilichopo Kata ya Ilunde Halmashari ya Wilaya ya Mlele kwakuwa kipo mbali na mjini hivyo kupelekea vifaa vya Ujenzi kutofika kwa kutosha na kwa wakati. "Watu wa Ilunde wapo mbali na sisi,mvua ikianza kunyesha wanawake wajawazito wanapata Changamoto kidogo ya mawasiliano kufika kwa wakati,nikuombe tuu kifuatilie kile kituo kwa ukaribu,ukifanyie kazi mpaka masika yanaanza wale kinamama na watu waliopo kwenye ile Kata waweze kupata huduma ya kutosha" Alisema Kasanda Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Mlele Rachel Kasanda akimuomba Mkuu mpya wa Wilaya hiyo Filberto Sa...

DC mpya wa Mlele akabidhiwa ofisi kwa Miradi hii...

Zifahamu mbinu za Ujasiliamali//Vibali na Vitu unavyotakiwa kuwa Mjasili...

RC Ruvuma akabidhi Vifaa maalum vya utoaji Elimu dhidi ya Corona.

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Brigedia Jenerali Wilbert Ibuge akimkabidhi vifaa maalum kwa kutolea elimu dhidi ya Corona Mkuu mpya wa Wilaya ya Mbinga Mhe.Aziza Ally Mangasonga. Mkuu wa wa Mkoa wa Ruvuma Brigedia Jenerali Wilbert Ibuge akimkabidhi vifaa maalum kwa kutolea elimu dhidi ya Corona Mkuu mpya wa  wilaya ya Namtumbo Mhe.Julius Keneth Ningu. Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Brigedia Jenerali Wilbert Ibuge akimkabidhi vifaa maalum vya kutolea elimu dhidi ya Corona mwakilishi wa Mkuu wa Wilaya ya Tunduru. Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Brigedia Jenerali Wilbert Ibuge akimkabidhi vifaa maalum vya kutolea elimu dhidi ya Corona kwa Mkuu mpya wa Wilaya ya Nyasa Kanali Laban Elias Thomas. Na Albano Midelo Afisa Habari Mkoa wa Ruvuma. Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Brigedia Jenerali Wilbert Ibuge amewakabidhi wakuu wa wilaya watano vipaza sauti kwa ajili ya utoaji wa elimu kwa jamii ya kujikinga na ugonjwa wa corona. RC Ibuge amekabidhi vifaa hivyo katika hafla fupi iliyofanyika kwenye viwanja vya ofisi ya Mkuu w...

Hakikisheni Miundombinu inawekwa//Tuongeze Viwanda,uwekezaji wa kati na ...

Viongozi wanaogeuka kero na balaa kwa Wananchi waonywa.

Msije mkafika kule mka'relax//Fedha zote ziingie kwenye Mifumo ya Serikali.

Angalizo kwa Vyama vya Msingi//Haki ikatendeke//Migogoro ya Wakulima na ...

Kamati ya Siasa yapongeza Miradi Kata ya Shanwe//"Mhe Diwani,Wewe bado n...

Walichokiongea Ma'DC baada ya maagizo ya RC//Wasisitiza suala la Wahamia...

Wahamiaji haramu wamchukiza RC//Aanza na agizo hilo kwa Ma'DC.

Semina kwa Wakuu wa Mikoa na Makatibu Tawala yaja//Ukusanyaji mapato kus...

Maneno ya Wafanyabiashara kwa Rais Samia//Waeleza mazingira ya Biashara ...

Siku 100 za Rais Samia//Haya hapa maoni ya Chadema na CCM juu ya utendaj...

Wilaya ya Nyasa yatoa mikopo kwa Asilimia 100,RC Ibuge apongeza.

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Brigedia Jenerali Wilbert Ibuge akizungumza katika mkutano maalum wa CAG Halmashauri ya wilaya ya Nyasa katika ukumbi wa Kapteni Komba mjini Mbambabay. Na Albano Midelo Afisa Habari Mkoa wa Ruvuma Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Brigedia Jenerali  Wilbert Ibuge,ameipongeza Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa kwa kutoa mikopo kwa asilimia 100  yenye thamani ya ya zaidi ya shilingi milioni 66.6 kwa  makundi ya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu. RC Ibuge ametoa pongezi hizo mwishoni mwa wiki katika mkutano maalum wa Baraza la madiwani la Halmashauri hiyo wa kujadili taarifa ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali CAG kwa mwaka 2019/2020. Mkutano huo umefanyika katika Ukumbi wa Kepteni John Komba mjini Mbambabay Makao makuu ya Wilaya ya Nyasa. Brigedia Jenerali Ibuge amepongeza mara ya kwanza Halmashauri hiyo kutoa mikopo kwa asilimia 100 ambapo kati ya fedha zilizotolewa Wanawake wamepata milioni 37.6 vijana, milioni 19,000,000 kundi la watu wenye ule...

Uhaba wa Matofali unavyo athiri Miradi//"Tunaishukuru Serikali imemwaga ...

Hivi hapa Vyumba vya Shule Shikizi vilivo mkosha Mwenyekiti CCM Wilaya//...

KIMEWAKA: "Afisa Manunuzi nakupa Miezi Mitatu ya Kujitathmini", RC Katavi

Baba afariki na Mama atelekeza watoto na kwenda kuolewa

Miaka 6 Kitandani bila kunyanyuka // Mapacha wanne // Amtegemeaye Mungu ...

Tusifumbie Macho Ubathirifu,Tusikwepeshe maneno // Fedha za POS zirudi k...

Gari la Serikali lakaa Gereji Miaka 7 // RC aagiza TAKUKURU kuingilia kati

Kijiji cha Ilunde chaomba Serikali kupitia upya Mipaka ya Kitongoji cha ...

Ifahamu chimbuko la Maadhimisho ya Siku ya Mtoto wa Afrika//Tukio Moja l...

Nsimbo yapewa Wiki Nne kumaliza hoja zilizosalia//"Epukeni hoja,nataka k...

"Huu nao ni aina ya Wizi,Fedha imekusanywa kwa nini haingii Benki"//Mili...

Tazama uwezo wa Wanafunzi wakiimba Wimbo kwa vitendo mbele ya Umati wa W...

UJENZI NA UKARABATI MIUNDOMBINU YA KILIMO CHA UMWAGILIAJI WAANZA MADIBILA.

Kulia Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Taifa ya Umwagiliaji Bw. Daudi Kaali Akimkabidhi Mkataba wa Ujenzi wa Miundombinu katika Skimu ya Kilimo cha Umwagiliaji Madibila Bw. David Noble Mkurugenzi wa Kampuni ya Ukandarasi ya White City International. Bw.Shabani Sawasawa (mkulima) akizungumzia manufaa ya Mradi wa Regrow katika skimu ya kilimo cha Umwagiliaji ya Madibila, iliyopo katika Halmashauri ya Mbarali. Na. Mwandishi Wetu –Mbarali,Mbeya. Ujenzi na ukarabati wa miundombinu ya kilimo cha Umwagiliaji katika skimu ya Madibila iliyopo katika Halmashauri ya Mbarali Mkoani Mbeya, umeanza Rasmi kwa mkandarasi kukabidhiwa eneo la ujenzi wa mradi na mkataba kwa utekelezaji wa mradi huo, ambao una lengo la kusimamia ustahimilivu wa maliasili kwa ajili ya ukuaji wa utalii na shughuli mbadala za kiuchumi kusini mwa Tanzania. Akizungumza wakati wa makabidhiano hayo, Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Taifa ya Umwagiliaji Daudi Kaale, amesema Tume hiyo ina jukumu kubwa ya kusimamia kilimo cha...

Katavi: Itazame taarifa ya Vifo vya Mama na Mtoto kwa Mwaka 2019/20 hadi...

Fedha za Ushuru Halmashauri ya Wilaya ya Tanganyika kuchunguzwa.

M kaguzi wa nje wa hesabu za Serikali Mkoa wa Katavi,Mohamed Msangi akieleza jambo katika M kutano wa Baraza la hoja la Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Tanganyika. Na. Zainab Mtima, Tanganyika-Katavi. Mkuu wa Mkoa wa Katavi,Bi. Mwanamvua Mrindoko ameagiza Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa TAKUKURU Mkoania humo, kufatilia fedha zote za ushuru zilizotumiwa kinyume na utaratibu kabla ya fedha hizo hazijaingizwa kwenye mfumo. Mrindoko ametoa maagizo hayo katika mkutano wa baraza la hoja la madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Tanganyika ambapo amesema serikali haiwezi kuvumilia wizi wa aina hiyo ya matumizi holela ya fedha za serikali ambazohazijaingizwa kwenye akaunti ya Halmashauri. Pia amemtaka mwenyekiti wa Halmshauri hiyo Bwana. Hamadi Mapengo kuhakikisha anasimamia hoja zote 35 zilizosalia kati ya hoja 55 zilizotolewa na mdhibiti na mkaguzi wa nje wa hesabu za serikali CAG kwa mwaka 2019-2020 zinafungwa haraka iwezekanavyo. Miongoni mwa hoja hizo ni pamoja na madeni...

DC Tanganyika achachamaa Wakulima wa Pamba kudhurumiwa Fedha zao//Ataka ...

Wakulima wa Pamba Full Shangwe//Baada ya Habari njema likafuata Sebene.

Kimeumana "Tusiendelee kulea Wezi,TAKUKURU fatilieni"

Makarani Ununuzi wa Pamba waonywa//"Sitatarajia kumuona Karani baada ya ...

Siku ya Mtoto wa Afrika//Wasimamizi wa Sera na Sheria wakumbushwa.

MNADA WA PAMBA TANGANYIKA,WAKULIMA KICHEKO.

Pichani ni Mkuu wa Wilaya ya Tanganyika,Salehe Mhando (aliyevaa Suti) akiwa na baadhi ya Wakulima wa Pamba katika tukio la uzinduzi wa Soko la Pamba katika Kijiji cha Sibwesa. Mnunuzi wa Pamba kutoka Kampuni ya NGS Investment Co.Ltd Njalu Daudi Silanga. Pichani ni Sephania Waya kutoka Idara ya Kilimo Wilayani Tanganyika. Mkuu wa Wilaya ya Tanganyika,Salehe Mhando akizungumza jambo na Wakulima pamoja na Wanunuzi wa Pamba. Na.Swaum Katambo Tanganyika-Katavi. Wakulima wa Pamba Wilayani Tanganyika Mkoani Katavi wameipongeza Serikali kwa usimamizi mzuri wa ununuzi wa Pamba kwa bei elekezi ya Sh.1050 ukilinganisha na mwaka jana ambapo waliuza kwa Sh.810. Wakizungumza katika tukio la uzinduzi wa Soko la Pamba uliofanyika Jana Juni 15,2021 katika Kijiji cha Sibwesa Wilayani humo,Wakulima wamesema kuwa mwaka huu wamepata manufaa ukilinganisha na gharama za uandaaji wa mashamba,ununuzi wa mbegu pamoja na palizi. "Mwaka wa kwanza wakati wanzindua Pamba walikuwa wananunua kwa bei ya sh 1200 l...

Watoto wa Wahamiaji Haramu Waandikishwa Shule za Serikali//17 warudishwa...

Dhahabu Nyeupe//"Aliyeleta Pamba anarudi na Mshiko Nyumbani"

Vifo vya Mama Wajawazito Tishio//Serikali kuja na Mkakati wa Kunusuru Ma...

Katavi: Kisa kizima cha Mzee mwenye Watoto 107//Sababu za Kabila lake ku...

Ushirikishwaji Vijana Jengo la Halmashauri ya Mbinga ulivyomfurahisha RC Ibuge.

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma alipotembelea mradi wa ujenzi wa ofisi ya Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Mbinga katika eneo la Kiamili.Mradi huo unatarajia kugharimu zaidi ya shilingi bilioni mbili hadi kukamilika. Mkuu wa Wilaya ya Mbinga Cosmas Nsenye akitoa maelezo kwa Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Brigedia Jenerali Wilbert Ibuge kuhusu vijana walivyoshirikishwa kwenye mradi huo kufyatua matofali ambayo yanatumika kutekeleza mradi huo. Kikundi cha vijana wa Kigonsera ambacho kimeshirikishwa kwenye mradi wa jengo hilo kwa kufanyakazi ya ufyatuaji matofali ya kutekeleza mradi huo. Msingi wa jengo la Halmashauri ya wilaya ya Mbinga ambapo hadi sasa serikali imetoa shilingi bilioni moja kutekeleza mradi huo kupitia Mkandarasi SUMA JKT. Na.Albano Midelo Afisa Habari Mkoa wa Ruvuma. Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Brigedia Jenerali Wilbert Ibuge ameupongeza uongozi wa Halmashauri ya Mbinga kuwashirikisha vijana katika mradi wa ujenzi ofisi za Halmashauri hiyo unaogharimu zaidi ya shilingi bilioni mbili. R...

Upendo ulivyomfanya aachane na Wake zake Vipenzi//"Ukimpenda,hautapenda ...

Dogo atamani kufuga Watu kama Baba yake//Tazama akipiga Story na Site Tv.

Maisha ya Wake 11 kwa Mume Mmoja//Mama wa Watoto 12 atamani Mume wake ao...

Agizo la Rais kwa Halmashauri kuhusu Mikopo ya 10%//Serikali kukata mziz...

Hiki hapa Kilio cha Mbunge wa Nyamagana kwa Rais//Neno la Waziri wa TAMI...

Watanzania Wakumbushwa kuvaa Barakoa kwenye Mikusanyiko ili kudhibiti Ma...

Viongozi,Watendaji (CCM) watakiwa kukagua Miradi inayotekelezwa na Serikali.

Na. Mwandishi Wetu-Zanzibar. Viongozi na watendaji wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) wametakiwa kukagua miradi mbalimbali inayotekelezwa na Serikali ili kuhakikisha inakamilika kwa wakati  na kuwanufaisha wananchi wa maeneo husika. Maelekezo hayo yametolewa na Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar Dk.Abdulla Juma Mabodi, katika ziara yake ya kukagua utekelezaji wa Ilani ya CCM katika Wilaya ya Kaskazini ‘A’ Unguja. Amesema endapo viongozi hao wa Chama kwa ngazi mbalimbali watakagua miradi inayotekelezwa na serikali itakuwa ni sehemu ya kutekeleza kwa vitendo maelekezo yaliyotolewa katika Ilani ya CCM ya mwaka 2020/2025. Katika ziara hiyo Naibu Katibu Mkuu huyo alieleza kutoridhishwa na maelezo yaliotolewa na Meneja wa mradi wa ujenzi wa gati ya bandari ya Mkokotoni. Amesema maelezo yaliotolewa na Meneja huyo hayafanani na maelezo aliopatiwa na Makamu wa Pili wa Rais Hemed Suleiman Abdulla wakati alipofanya ziara yake ya kukagua ujenzi huo wa gati hiyo uliopo mkoa wa Kas...

Wakulima Morogoro wanufaika na Mradi wa zao la Mpunga.

Picha ikionesha Mfereji mkuu unaoepeleka maji mashambani katika skimu ya Msolwa Ujamaa. Sehemu ya Miundombinu katika skimu ya Kilimo cha Umwagiliaji Msolwa ujamaa Kilosa mkoani Morogoro. Picha Ikionesha Ghala la kuifadhia mazao katika skimu ya kilimo cha Umwagiliaji Njage katika Halmashauri ya Mlimba. Bi. Wadara Kitada Afisa Kilimo katika Halmashauri ya Mlimba Mkoani Morogoro akizungumza katika skimu ya Njage wakati wa ziara ya kikazi katika miradi ya kuongeza uzalishaji wa zao la mpunga. Na. Mwandhishi Wetu-Morogoro. Wakulima katika skimu za kilimo cha umwagiliaji Mvumi, Msolwa Ujamaa na Njage zilizopo katika Wilaya ya Kilosa, Kilombero na Halmashauri ya Mlimba Mkoani Morogoro, zimenufaika na ukamilishwaji wa ujenzi wa skimu za kilimo cha umwagiliaji zilizopo chini ya mradi wa kuongeza uzalishaji wa zao la mpunga uliyofadhiliwa na Bank ya Dunia. Wakiongea katika nyakati tofauti baadhi ya wakulima katika skimu hizo,walisema hali ya kilimo katika skimu hizo haikuwa rafiki kabla ya kuwep...

Shangwe la Wanamwanza kwa Rais Samia//Atoa kauli kwa Wananchi wanaochuku...

Ahadi ya Rais kwa Halmashauri Nchini//Bodaboda watajwa.

Rais Dkt.Mwinyi Afungua Kongamano la Uchumi wa Buluu//Azitaja fursa zita...

RC IBUGE akagua mpaka wa Tanzania na Msumbiji kupitia Ziwa Nyasa.

Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa wa Ruvuma na Kamati ya Ulinzi  na Usalama wilaya ya Nyasa,wakiongozwa na Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Brigedia Jenerali ndani ya Mto Chiwindi ambao unagawa nchi ya Tanzania na Msumbiji kupitia wilaya ya Nyasa Ni mmoja wa askari kutoka nchi ya Msumbiji akiwa  ng'ambo ya Mto Chiwindi ambako ni kijiji cha Shiwindi nchini Msumbiji akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Brigedia Jenerali Wilbert Ibuge alipofanya ziara ya kutembelea mpaka wa Chiwindi unaotenganisha Tanzania na Msumbiji. Katikati ni Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Brigedia Jenerali Wilbert Ibuge akizungumza na viongozi wa serikali katika ,kijiji cha Chiwindi Kata ya Chiwanda wilayani Nyasa,mpakani mwa Tanzania na nchi ya Msumbuji. Na.Albano Midelo Afisa Habari Mkoa wa Ruvuma. Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Brigedia Jenerali Wilbert Ibuge amefanya ziara ya pili ya kukagua maeneo ya mipakani kwa kutembelea mpaka wa Chiwindi mwambao mwa ziwa Nyasa unaogawa Tanzania na nchi ya Msumbiji. RC Ibuge katika ziara...