Skip to main content

Posts

Showing posts from August, 2020
KATAVI: KIPAJI CHAKE HAKIFICHIKI,SIO SIRI HUYU JAMAA NOMA,AOMBA WADAU WA MUZIKI WAMSAPOTI

TAKUKURU MNAMENO MAKALI SANA, MSIOGOPE KUNG'ATA, NG'ATENI BILA WOGA, NG'...

TCRA YAOMBA HALMASHAURI NCHINI KUTUMIA FURSA ZA KUFUNGUA ANUNI ZA MAKAZI.

Na Mwandishi Wetu.Katavi. Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imeziomba Halmashauri zote nchini kutumia fursa za kufungua anuani za makazi (Post Code) ili kuboresha maisha ya wananchi kupitia huduma za mawasiliano. Kauli hiyo imetolewa hapo jana kwenye semina ya siku moja katika ukumbi wa Idara ya maji Manispaa ya Mpanda Mkoa wa Katavi na Mhadisi wa Mamlaka hiyo kanda za Nyanda za Juu Kusini,Charles Thomas alipokuwa akizungumza na watumishi wa umma wa Halmashauri ya Wilaya ya Tanganyika Mkoani humo. Mhandisi Charles aliziomba halmashauri kuwa kitendo cha  kufunguliwa wa anuani za makazi kwenye halmashauri zitachochea ukuaji katika sekta ya mawailiano nchini ikiwa pamoja kutumia fursa  za tehema hasa mkongo wa taifa wa mawasiliano kwa maendeleo. Akifafanua umuhimu wa anuani za makazi kwa Halmashauri Mhadisi huy o alibainisha kuwa zitaweza kusadia katika ukusanyaji wa mapato yatokanayo na kodi kwa wananchi kwani watakuwa na takwimu halisia za anuani za ...

ETC AGRO TRACTOR NA CRDB KUKUZA KILIMO CHENYE TIJA KATAVI.

Na Mwandishi Wetu,       Katavi. Wakulima Mkoa wa Katavi wameombwa kuachana na kilimo cha mazoea ambacho hakimkomboi   mkulima kiuchumi na badala yake kumfanya kuzalisha mazao ya chakula na biashara yasiyokuwa na tija huku yakimwacha masikini. Kauli hiyo imetolewa jana kwenye ukumbi wa Idara ya Maji Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi na Afsa Masoko na Mauzo wa ETC Agro Tractor,Zahra Salum wakati akizungumza na wadau wa kilimo mkoani humo ambapo aliwaambia kuwa kilimo pekee chenye tija kitamkomboa mkulima kutoka kwenye umasikini. Zahra aliweka wazi kuwa kwa kutambua juhudi zinazofanywa na serikali ya awamu ya tano chini ya rais Dkt John Magufuli ya kuadaa sera madhubuti za kuhakikisha sekta ya kilimo inakua kwa kasi na kumfanya mkulima kupiga hatua za maendeleo ya kiuchumi ndio zimeifanya Kampuni ya ETC Agro Tractor kwa kushirikiana na Benki ya CRDB Tawi la Mpanda kuandaa mfumo ambao utamfanya mkulima kupata zana za kilimo za kisasa, ...

HEKARI 4000 ZIMERUDI KWA WACHIMBAJI WADOGO WA MADINI,CHIMBA SHIMO HUKU U...

MWANZO MWISHO ONA HII WAGOMBEA UBUNGE WATEULE WA CCM WACHUKUA FOMU ,SEBA...

HITIMISHO LA MKUTANO WA WADAU WA ELIMU KATAVI,WAKUBALIANA KUONGEZA UFAUL...

WAZIRI Mkuchika amwakilisha Rais Magufuli ufunguzi ofisi ya TAKUKURU Namtumbo

  WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Kapteni Mstaafu Gorge Mkuchika amemwakilisha Rais Magufuli katika ufunguzi wa jengo la ofisi ya TAKUKURU Wilaya ya Namtumbo lililogharimu zaidi ya shilingi milioni 139. Akizungumza kabla ya kufungua jengo hilo katika hafla iliyofanyika mjini Namtumbo Waziri Mkuchika amesema Rais Dkt.John Magufuli amemteua kufungua jengo hilo kwa niaba yake na kwamba Rais ameweka utaratibu wa kuyafungua majengo mapya ya TAKUKURU kwa nyakati tofauti na wasaidizi wake. Ameagiza majengo mapya saba ya TAKUKURU ngazi ya wilaya yatumike vema katika mapambano dhidi ya rushwa pamoja na kuwafichua wala rushwa sanjari na kuacha kushiriki katika vitendo vya rushwa. “Serikali ya awamu ya Tano inayoongozwa na Jemedari Rais wetu,imefanya kazi kubwa ya kuimarisha na kuendeleza mapambano dhidi ya rushwa na ufisadi nchini’’, alisisitiza Waziri Mkuchika. Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Kapt.Msta...

DC KIMARO AWATAKA WADAU WA ELIMU NSIMBO KUFANYIA KAZI KWA VITENDO MAADHIMIO

  Na  John Alex Mganga Nsimbo -Katumba . Mkuu wa Wilaya ya Mpanda Mh.Bi Jamila Kimaro amewataka Wadau wa Elimu Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo kuyafanyia kazi kwa vitendo maazimio mbalimbali  yaliyotolewa katika kikao hicho ili kuinua ubora wa Elimu Nsimbo. Mh.Kimaro ametoa rai hiyo wakati akifunga kikao cha wadau wa Elimu Nsimbo  Kilichofanyika Agosti 18 ,2020  katika Ukumbi wa Shule ya Sekondari Katumba kwa lengo la kujadili changamoto mbalimbali na kuzipatia ufumbuzi ili kuinua Ubora wa Elimu ndani ya Halmashauri ya Nsimbo Kudumisha Ushirikiano baina ya Walimu na Wazazi katika kuhakikisha kuwa changamoto mbalimbali zinazoikabili sekta ya Elimu ikiwemo utoaji wa chakula inapatiwa ufumbuzi,Uzingatiaji utoaji wa Elimu ya Awali,Uboreshaji wa miundombinu pamoja na kuzingatia utekelezaji wa maazimio yaliyotolewa na Mkuu wa Mkoa wa Katavi Cde.Juma Zuberi Homera ni maazimio yaliyoazimiwa na Wadau wa Elimu Nsimbo katika kikao hicho. Akizungumza  ukumbini hapo Mh....

TRC YAJA KATAVI KUTEKELEZA AGIZO LA RAIS,ZAIDI YA BIL 60 ZATENGWA UJENZI...

KATAVI KUCHELE,WAMBURA AJA NA MATUMAINI MAPYA YA MPIRA WA MIGUU, MABORES...

BODI YA WAKURUGENZI TANESCO(TZ) YAJIONEA UMEME UNAOZALISHWA KATAVI HAUTO...

RC HOMERA AMKUBALI RAIS WA RED CROSS | WAKABIDHI VIFAA VYA KISASA VYA KU...

KATAVI:UTACHEKA ONA MGAMBO HUYU ANAVYOPIGA KWATA KWA MBWEMBWE

KATAVI:MWANZO MWISHO,UZINDUZI WA MKUTANO WA WADAU WA ELIMU H/W YA MPIMBW...

MAKALA:UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO NDANI YA MIAKA MITANO YA HALMA...

KATAVI:ANGALIA RHODA KUNCHELA ALIVYOFUNGULIA MILANGO KUCHUKUA FOMU YA UB...

KATAVI:ANGALIA RHODA KUNCHELA ALIVYOFUNGULIA MILANGO KUCHUKUA FOMU YA UB...

KATAVI:CHEKI JINSI ZOEZI LILIVYOFANYIKA USIKU WA MANANE LA KUWAVUNA BOK...

NAIBU WAZIRI WA MAJI JUMA AWESO:SHIRIKISHENI WANANCHI USOMAJI WA MITA ZA MAJI

Na Swaum Katambo,Site News Mpanda/Tanganyika,Katavi. Mkandarasi anayejenga Tanki la Mradi wa Maji ya Ikolongo 2,Millennium Master Builders LTD amemuahidi Naibu Waziri wa Maji Jumaa Aweso kuwa hadi ifikapo Septemba 15 mwaka huu Mradi huo utakuwa umekamilika Ametoa ahadi hiyo leo Agosti 10 kwa njia ya Simu alipopigiwa na  Naibu Waziri Aweso alipokuwa akikagua mradi wa ujenzi wa tanki kubwa lililopo Mtaa wa Mapinduzi katika kata ya Ilembo Manispaa ya Mpanda ambapo ameeleza kuridhishwa na utendaji ikiwemo usimamizi wa miradi ya maji vijijini chini ya Wakala wa maji vijijini RUWASA. Mradi wa Tanki la Maji Mapinduzi wenye ujazo wa Lita Milioni Moja unaosimamiwa na Mkandarasi wa Millennium Master Builders LTD Kwa mujibu wa kaimu mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji Mpanda (MUWASA) Eng.Iddo Richard akiwasilisha ripoti ya utekelezaji wa  miradi ya maji amesema mradi huo ukikamilika utazinufaisha zaidi ya Kaya 30,000 na utakuwa na uwezo wa kutoa kiasi cha lita zaidi milioni  sita ambazo s...

KATAVI:ZAIDI YA WANANCHI 30,000 MANISPAA YA MPANDA KUNUFAIKA NA MRADI WA...

NAIBU WAZIRI WA MAJI MH.AWESO AWATAKA WASOMA MITA WASHIRIKISHE WANANCHI ...

Wakulima Ruvuma watakiwa kuchangamkia fursa ya kilimo bora cha kahawa

Uzalishaji wa Kahawa Mbinga Wakulima wa Mkoa wa RUVUMA wametakiwa kuchangamkia fursa ya miche ya kilimo bora cha kahawa kwa sababu maeneo mengi ndani ya Mkoa yanafaa kwa kilimo cha kahawa ambacho kitainua uchumi wao. Wito huo umetolewa na mtaalam wa kilimo Bw Victa Akulumuka kutoka kituo cha utafiti wa zao la kahawa TaCRI cha Ugano Mbinga katika maonesho ya nanenane ngazi ya Mkoa wa Ruvuma yanayofanyika viwanja wa Msamala mjini Songea. Akalumuka amesema wakulima wanatakiwa kuchangamkia fursa ya kulima zao la kahawa kwakuwa zao la kahawa linaonekana kustawi katika maeneo mengi ndani ya mkoa na kilimo ambacho kitainua uchumumi wao na Taifa. Amewataka wakulima kuzingatia amri kumi za kilimo cha kahawa ambazo zinasaidia katika kustawisha zao la kahawa ambazo zitatoa matokeo chanya na kuongeza uzalishaji wenye tija kwa wakulima . Amezitaja amri za kilimo bora cha kahawa kuwa ni kukatia matawi,kutumia mbolea,kupulizia madawa kwa wakati,kupalilia nakuondoa machipukizi Pamoja na kupanda miti k...

RC KATAVI APONGEZA WAKULIMA WALIOJITOKEZA KWENYE MAONYESHO YA NANENANE JIJINI MBEYA,ASISITIZA NA UTALII

  Na Mwandishi wetu,Site Tv Nanenane-Mbeya #NEWS Mkuu wa Mkoa wa Katavi Juma Zuberi Homera ameridhishwa na bidhaa za Wafanyabiashara kutoka Mkoani Katavi,baada ya kutembelea mabanda yao katika maonyesho ya Nanenane Kanda ya Nyanda za Juu Kusini yanayoendelea viwanja vya John Mwakangale Jijini Mbeya. Homera akiwa ameambatana na Viongozi wengine akiwemo Katibu Tawala wa Mkoa Ndugu Abdalah Malela,Mkuu wa Wilaya ya Mlele Rachel Kasanda,Mh. Salehe Mhando wa Tanganyika na Jamilla Kimaro wa Mpanda baada ya kutembelea baadhi ya Mabanda amesema. "Nimefarijika na namna maandalizi yalivyofanyika,kiukweli Mkoa wa Katavi wamejipanga vizuri,nimeona kwenye mabanda yao yanaridhisha,yanaendana na kauli mbiu ya Mheshimu Rais wetu Tanzania ya Viwanda,unaweza kuona wametengeneza Wine nzuri, wametengeneza unga mzuri, wametengeneza asali vizuri,na wana Viwanda vya asali kwa mfano ukienda kule Bulamata na maeneo mengine" -Alisema RC Homera, alipotembelea mabanda ya Nanenane. "Lakini Manispaa n...

Msitafute migogoro na vyama vya siasa

Aliyesimama ni msimamizi wa uchaguzi Jimbo la Songea mjini akifungua mafunzo ya siku tatu kwa wasimamizi wasaidizi ngazi ya Kata Manispaa ya Songea MSIMAMIZI wa Uchaguzi Jimbo la Songea mjini mkoani Ruvuma Tina Sekambo amewatahadharisha wasimamizi wasaidizi wa Uchaguzi ngazi ya Kata katika Manispaa hiyo kuepuka migogoro na vyama vya siasa kwa kwa kusimamia mchakato wa uchaguzi kwa mujibu wa sheria za Tume ya Uchaguzi. Sekambo ametoa tahadhari hiyo kwenye ukumbi wa Manispaa hiyo mjini Songea, wakati anazungumza kabla ya kufungua mafunzo ya siku tatu kwa wasimamizi wasaidizi kutoka kata zote 21 kwa ajili ya uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 28 mwaka huu. “Tume ya Uchaguzi inasisitiza sana,tusitafute migogoro na vyama vya siasa,tuepuke kabisa migogoro ,uchaguzi asilimia 100 unaendeshwa na sheria ,ukikosea hata nukta ni tatizo,tunatakiwa tusome maelekezo yote vizuri ili kufanya mchakato wa uchaguzi mwaka huu kwa ufanisi’’, alisisitiza Sekambo. Msimamizi wa uchaguzi Jimbo la Songe...

KATAVI:FPCT NA MRADI WA ELIMU JUMUISHI WAGAWA VIFAA KINGA VYA CORONA KWA...

PETROLI KATAVI YAGEUKA LULU,NAULI BAJAJI BODABODA ZAPANDA KAWA KASI

PETROLI KATAVI YAGEUKA LULU,NAULI BAJAJI BODABODA ZAPANDA KAWA KASI

Na Swaum Katambo,Site News Mpanda,Katavi Hali ya upatikanaji wa Mafuta ya Petroli Manispaa ya Mpanda sio shwari kutokana na kuadimika kwa Mafuta hayo huku wafanyabiashara  waendesha vyombo vya moto ikiwemo bajaji na pikipiki wakilalamika kuomba utatuzi wa changamoto hiyo. Mafuta ya Petroli Manispaa ya Mpanda yanapatikana katika kituo kimoja tuu cha Kampuni ya SERENIVA kilichopo Kata ya Majengo Manispaa hii  huku Meneja wa Kituo hicho Thomas Magabe amesema kuwa shida ya mafuta imetokana na wauzaji kutoa Mafuta kidogo huku wakilazimika kutoa oda mapema kwenye visima vya matuta. Baadhi ya wafanyabiashara vyombo vya Moto wakiwa kwenye kituo cha Mafuta SERENIVA Nao wafanyabiashara wa vyombo vya moto hususan bajaji na pikipiki ambao ndio waathirika zaidi wamesema  wanatumia muda mwingi kwenye foleni  huku ikiwagharimu kibiashara na kupelekea hadi kupandisha bei ya kawaida  ya usafiri iliyozoeleka. Kwa upande wake Amani Mahela Mwenyekiti w...

RUWASA Songea yatoa mafunzo na vyeti kwa jumuiya tisa za watumia maji

Katibu Tawala Wilaya ya Songea Pendo Ndumbaro akigawa vyeti kwa wanajumuiya za maji wilaya ya Songea baaada ya kupata mafunzo kutoka RUWASA wa maji vijijini  RUWASA wilaya ya Songea mkoani Ruvuma imetoa mafunzo na kugawa vyeti kwa jumuiya tisa za watuamia maji katika Halmashauri za Madaba na Halmashauri ya Songea. Akizungumza katika mafunzo hayo yaliyofanyika kwenye ukumbi wa Songea Klub Mtaalam wa RUWASA Wilaya ya Songea Samweli Sanya amesema Ruwasa kwa kushirikiana na jumuiya hizo zilizoundwa watahakikisha wananchi wanapata huduma ya maji endelevu kwa usimamizi na uendeshaji na wananchi watachangia huduma hiyo. Mgeni rasimi katika mafunzo hayo Katibu Tawala wa Wilaya ya Songea Pendo Ndumbaro amesema lengo la RUWASA ni kutekeleza na kuiwezesha jamii kuwa na jumuiya ya maji imara na kuleta tija endelevu kwa wananchi vijijini. Amesema Jumuiya waliopata mafunzo hayo wawe walimu na wasimamizi wazuri katika kutunza miundo mbinu iliyopo katika jum...

RC KATAVI AWASWEKA MAHABUSU VIONGOZI GRAND TOBACCO NA KASOKOLA AMCOS,ACHARUKA HADI PESA ZILIPWE

Na Swaum Katambo,Site News Mpanda,Katavi. Kufuatia maagizo ya siku 10 aliyowahi kuyatoa katika kikao cha wadau wa uoteshaji wa Miti Katavi kuhusu Kampuni za PETROBENA na GRAND TOBACCO kuwalipa Fedha wakulima wa Tumbaku Mkuu wa Mkoa Juma Homera leo Aug 3 ameamuru kuwekwa mahabusu Viongozi wa Kampuni ya GRAND TOBACCO kwa kudaiwa zaidi ya Dola Laki 3 kwa zaidi ya Mwezi mzima. "Nimeamuru Viongozi hawa wawekwe Mahabusu mpaka walipe hizo fedha,na hivi nnavyozungumza wameshapelekwa Mahabusu na wanaendelea kuhojiwa na vyombo vya sheria kuhakikisha kwamba fedha hizo hawatatoka ndani Mpaka walipe Fedha za wakulima ambazo zinatakiwa zilipwe baada ya kuchukua Tumbaku ya Wakulima". Alisema Mh Homera Kwa upande Wa Kampuni ya PETROBENA yenyewe imelipa  Dola Laki moja na Elfu 40 huku wakidaiwa zaidi ya Dola Elfu 40 na Kampuni ya GRAND TOBACCO yenyewe haikulipa Kabisa huku Mh Juma Homera akisisitiza kutowaachia hadi pesa hizo zitakapoliwa. Kwa upande...