Skip to main content

Posts

Showing posts from March, 2021

MAKAM WA RAIS DKT PHILIP MPANGO AKILA KIAPO

RUWASA NYASA YATATUA KERO YA MAJI KIJIJI CHA CHIMATE

Mhe Samia Ni Konki Fire, Yupo Juu Mawinguni, Askofu Gwajima Amtabiria Ma...

SIO MCHEZO SAFARI YA ZAO LA MICHIKICHI WILAYANI TANGANYIKA YAANZA

Maneno Ya Dkt Mpango Baada ya Kuteuliwa Kuwa Makamu Wa Rais, Ninaumia sa...

UVCCM Yaomba Radhi Vyama Pinzani Kwa Kuchochea Chuki Kipindi Cha Nyuma

Ombi La Mama Ntilie na Wafugaji Wa Chato Kwa Rais Samia Suluhu

World Sporting Council Secretary Colonel Dorah Koita presents condolence...

Tumuenzi Dkt Magufuli kwa Kumcha Mungu - Mhe Mbogo, Mwenyekiti Halmashau...

Kifo Sio Nukta, Tumuombee Magufuli Na Kumuenzi Kwa Kufanya Kazi-Padri Ma...

Tunamshukuru Mungu Kwa Zawadi Ya Uhai Wa DKT MAGUFULI, Tufanye Yaliyo Me...

KANISA KATOLIKI PAROKIA YA INYONGA LAFANYA MISA MAALUMU KUMUOMBEA DKT MAGUFULI, DC JAMILA ASISITIZA KUMUENZI KWA VITENDO

Mkuu wa Wilaya ya Mpanda  ambaye pia ni  Kaimu Mkuu wa Wilaya ya Mlele  Mhe  Jamila Yusu ph akisisitiza jambo wakati  akizungumza kwenye Misa Maalumu katika Kanisa Katoliki Parokia ya Inyonga ya Kumuombea Hayati Dkt John Pombe Magufuli, tarehe 24 Machi 2021. Mkuu wa Wilaya ya Mpanda  ambaye pia ni  Kaimu Mkuu wa Wilaya ya Mlele  Mhe  Jamila Yusu ph akiwa katika picha ya pamoja na Viongozi mbalimbali wa Kanisa katoliki Parokia ya inyonga mara baada ya kumalizika  Misa Maalumu ya Kumuombea Hayati Dkt John Pombe Magufuli, tarehe 24 Machi 2021. Kiongozi wa Kanisa Katoliki Parokia ya Inyonga Padri  Maricelo Butoyi akiongoza Misa Maalumu ya  kumuombea Hayati Dkt John Pombe Magufuli, tarehe 24 Machi 2021. Sehemu ya waumini wa Kanisa Katoliki Parokia ya Inyonga wakifuatilia ibada Maalumu ya Kumuombea Hayati Dkt John Pombe Magufuli, tarehe 24 Machi 2021. Sehemu ya waumini wa Kanisa Katoliki Parokia ya Inyonga wakifuatilia ibada Maalumu ...

Buriani Dkt Magufuli Amepanda Mbegu Ya Ujasiri Mioyoni Mwetu//ALIKUA KIO...

TAZAMA RAIS SAMIA ALIVYOONGOZA VIONGOZI KUTOA HESHIMA ZA MWISHO KITAIFA ...

Viongozi Wa Dini Mkoa Wa Katavi Waungana Kumlilia Dkt Magufuli

Salaam za Maombolezo kutoka GSM

Balozi Wa Tanzania Nchini Israel Mhe Job Masima Ashindwa Kujizuia Amlili...

Hii hapa Safari nzima ya Maisha ya Rais Magufuli mpaka Mauti inamkuta

President Mwinyi invited the KhojaShia community Ithna Ashir Jamaats of ...

TAKUKURU YATOA WITO KWA JAMII KUKOPA KWENYE TAASISI ZA FEDHA ZINAZOTAMBULIKA

Na Swaum Katambo-Katavi TAKUKURU Mkoani Katavi imeokoa na kurejesha fedha kiasi cha Shilingi Mil 10 kwa Mwalimu George Gabriel Kanyukamalunde ambaye ni  mstaafu aliyedhulumiwa fedha za mafao yake baada ya kukopa fedha kwa nyakati tofauti kutoka kwa mkopeshaji mmoja Mkoani hapa. Akitoa taarifa mbele ya waandishi wa Habari Mkuu wa TAKUKURU Mkoa wa Katavi Christopher Nakua amesema m namo Disemba 3, 2020 walipokea taarifa kutoka kwa Bi. Catherine Mlenga ambaye ni mke wa Mwl Kanyukamalunde  juu ya madai hayo ambapo baada ya Mkopeshaji huyo kumkopesha mzee huyo alichukua Kadi yake ya Benki pamoja na namba za siri ambayo ndiyo iliyotumika kuchukulia fedha mara baada ya kiinua mgongo kutoka. Ameongeza kuwa baada ya uchunguzi kukamilika mtuhumiwa alikiri makosa na kuahidi kumrejeshea mlalamikaji kiasi cha Shilingi Mil 20 ambapo ni tofauti ya fedha ambazo ilikuwa ni kama dhuluma kwa mlalamikaji kwani kiasi hicho cha fedha hakikuwa na maelezo ya kutosha kama ni riba au ni nini ambacho ki...

Mwalimu Azulumiwa Mil 20, //TAKUKURU Katavi Yamnasa Muhusika Yarejesha T...

UJENZI WA MRADI SHIRIKISHI WA MIUNDOMBINU YA UMWAGILIAJI WAANZA KARAGWE

Na; Mwandishi Wetu– Kagera Ukarabati wa Miundombinu ya Kilimo cha umwagiliaji Wilayani Karagwe Mkoani Kagera Umeanza Rasmi, kwa ujenzi wa Barabara katika skimu ya kilimo cha umwagiliaji Mwisa pamoja na mifereji ya kupitisha maji kuelekea mashambani. Akizungumza wakati wa kupokea vifaa vya ujenzi Mhandisi wa Umwagiliaji, ambaye pia ni Meneja Maradi huo shirikikishi Bw. Adelialidy Mwesigwe, Amesema amepokea baadhi ya viaafa ambavyo vitaweza kutumika katika ujenzi pamoja na kusakafia mfereji wenye urefu wa mita mia saba hamsini (750), ambapo mpaka sasa mtaro wenye urefu wa mita mia tano na mbili (502) umeshachimbwa na barabara yenye urefu wa mita mia saba na sitini (760) inayokwenda sambamba na mtaro huo imekwisha andaliwa. “Tutajenga vikinga maji tisa, (9)  kwenye awamu hii kutokana na kwamba skimu hii ina ukubwa wa eneo la Hekta mia tatu (300) ambalo linalimwa zao la mpunga na mazao mchanganyiko.” Alisema Mwesigwa. Aliendelea kusema kuwa eneo ambalo lpo nje kidogo  wakulima wan...

Kamati ya kudumu ya Bunge Viwanda, Biashara na Mazingira Yaridhishwa na ...

Waziri Jenista Mhagama Atoa Wiki Mbili Uwekaji Barabara na Umeme Eneo la...

WAWEKEZAJI NA WATOA HUDUMA ZA MITANDAO WATAKIWA KUBORESHA INTANETI

Na Mathias Canal, Katavi Naibu Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhandisi Andrew Kundo (Mb) amewaomba wawekezaji na watoa Huduma za Mitandao ya mawasiliano kote Nchini kuhakikisha wanafanya tathmini ya mahitaji husika ya sasa katika maeneo ambayo minara inazidiwa. Amewataka wawekezaji hao kuhakikisha kuwa wanayaboresha mawasiliano hayo, uwezo wake au kujenga minara mipya ili kuweza kusaidia katika maeneo husika. Ameyasema hayo katika mwendelezo wa ziara zake za kukagua Miradi iliyopo chini ya Wizara ya Mawasilisiano na Taknolojia ya Habari akiwa katika eneo inapojengwa Bandari ya Karema iliyopo Mwambao wa Ziwa Tanganyika Mkoani Katavi ili kujionea uhalisia wa namna ya kuunganisha na kuimarisha mawasiliano katika ukanda wa ziwa Tanganyika. Hata hivyo amewataka wawekezaji na watoa Huduma kuboresha maeneo ambayo yanatoa huduma ya mawasiliano ya simu pekee kuhakikisha wanaboresha huduma hiyo kutoka 2G hadi 3G ili watanzania wote waweze kutumia huduma ya Intaneti kwa kuwa Ilani ...

Siridhiki na Kazi inayofanywa na Sekta ya Utalii Dkt Mwinyi Aagiza Wavam...

Naibu Waziri Kundo Aikubali Kazi ya Rc Homera, Tumeiona Fursa Katavi

Naibu Waziri wa Mawasiliano Eng Kundo Atua Katavi// Atakangaza Kiama Kwa...

Makamu wa Rais Kuanza ziara ya Kikazi ya Siku Sita Mkoani Tanga - Rc Shi...

Rekebisheni Kasoro Za Mradi wa Maji Kaloleni Pwani - Humphrey Polepole

Pamoja na Sala Tano Misikiti ifanye kazi ya Kushughulikia Matatizo ya Ja...

Dkt Mwinyi akabidhi nyumba 15 kwa familia 30

Kamati ya Siasa (M) Katavi Yaridhishwa na Mradi wa Maji Unaosimamiwa na ...

Wezi Wa Dawa Kupigwa Kipigo Cha Mbwa Mwizi Dkt Gwajima

Ujenzi Jengo Jipya La Ofisi Za Wakala wa Ndege za Serikali lazima likami...

Waandishi Katavi wapewa Big Up, Lishe Sio Chips Kuku Dkt Gwajima

Msidharau Tiba Asili, Jitokezeni - Dkt Gwajima

Kibano Cha Dkt Gwajima Chatua Katavi Ucheleweshwaji Ujenzi wa Hospitali

Rc Homera Atamba na Dawa Za Asili, Atoa Rai Zitengenezwe za Kutosha

Aponea Chupu Chupu Kusweka Ndani Na RC Homera// Spidi ujenzi Hospitali B...

Vijana Watakiwa Kuchangamkia Fursa ya Uwepo wa Umeme Vijijini

Dc Mhando Kufungia Mchezo wa Pool Table, Vijana Wachape Kazi

Moto Unaendelea Tanganyika, Dc Aagiza Kazi ya Ujenzi Usiku na Mchana

Serikali Kujenga COLD ROOM Uwanja wa Ndege Songwe -Majaliwa

Wapuuzeni Wasiolitakia Mema Taifa - Waziri Mkuu

Miradi ya Shule yamkera Dc Tanganyika, Abaini Ubadhilifu

Mafunzo ya Matumizi ya Baruti Yafanyike Mara kwa Mara-Mkurugenzi Manispa...

Rais Mwinyi akutana na Waziri wa Mawasiliano Ikulu Jijini Zanzibar

Jeshi La Polisi Katavi Lanasa Silaha ya Kivita AK 47

Waziri Mkuu atoa Siku 3 kwa Kampuni ya DL Kujieleza Kwanini Haijalipa Wa...

Lengo La Zanzibar Ni Kufungua Uchumi-Dkt Mwinyi

Hakuna Sababu ya Kupeleka wagonjwa nje ya nchi//Watibiwe nchini - Rais M...

Kumbe Sangara Wanapatikana Wilaya ya Tanganyika

Rais Mwinyi ateta na Katibu Mkuu Kiongozi Dkt Bashiru

Uhai wa Wananchi Mpanda ni Miti - Dc Jamila

Hakuna Uchawi wala Ushirikina//KIPINDUPINDU Ndugu yake Uchafu-Dc Mhando

Ukitaka Utajiri wa Haraka Tembelea Tanganyika//Wilaya ya Asali na Maziwa

Dhana Ya Ushirikiana Yamuibua Dc Mpanda Mhe Jamila, Msiwatishe Walimu

Moto wa Dkt Mwinyi Zanzibar ni balaa, Hazina Kazi yake kutafuta Fedha

Hazina Kazi yake kutafuta Fedha, ikishapata sekta husika ziingie mikatab...

Dc Jamila Achachamaa, Ukikutwa kwenye hifadhi kukiona cha moto

Mambo Ya Hovyo Yanafanyika Wizara ya Miundombinu// Agizo zito la Rais Mw...

Wanawake Tusikae kama Magolikipa - Afande Mbukwa

Wanawake Wa Katavi Wakataa kupewa Talaka, Dc Jamila awaunga mkono

Mke Wa Rais Mwinyi ataka Uwazi, Tukificha tunaitia Doa nchi Yetu

Kuelekea Siku ya Wanawake Duniani, Hakuna Mwanamke Anayebebwa Kwenye Uon...

Siridhishwi Uzalishaji Duni wa Miwa Vikosi S.M.Z Lazima Mzalishaje vya k...

Halmashauri ya Tanganyika Yaunga Mkono Juhudi za JPM

Rais Mwinyi na Ahadi ya Kuunga Mkono (NGO)

MAJALIWA: RAIS MAGUFULI AMEDHAMIRIA KUBORESHA MIUNDOMBINU NCHINI

JESHI LA POLISI KATAVI LAMKAMATA MGANGA WA KIENYEJI KWA KUTOROSHA MWANAFUNZI

Na Swaum Katambo, Katavi Jeshi la Polisi Mkoani Katavi limemkamata Mayala Hinyali (34)   ambaye ni mganga wa kienyeji Mkazi wa Kasekese Wilayani Tanganyika kwa kumtorosha mwanafunzi wa Shule ya Sekondari Usevya kidato cha kwanza jina limehifadhiwa  na kwenda kuishi nae kinyumba. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Katavi Benjamin Kuzaga amethi b itisha hayo wakati akiz ungumza na kituo cha Habari Site Tv na kusema kuwa mtuhumiwa huyo anaendelea kuhojiwa na atafikishwa mahakani kwa hatua zaidi za kisheria . Ka dhalika,  Jeshi la Polisi Mkoa wa Katavi limefanikiwa kukamata mtandao wa watuhumiwa wanaojihusisha na wizi wa pikipiki ambapo Katika msako jeshi la polisi limefanikiwa kukamata jumla ya pikipiki kumi na mbili ( 12)  na watuhumiwa kumi na watano . Hata hivyo, Kamanda Kuzaga amesema Watuhumiwa hao pamoja na vielelezo vya pikipiki hizo zipo katika kituo cha polisi Mpanda, Huku watuhumiwa wakiendelea kuhojiwa na mara baada ya upelelezi kukamilika majalada hayo yatafikishwa k...

WAJASIRIAMALI MPANDA WAILILIA SERIKALI KUCHELEWA UPATIKANAJI WA VITAMBULISHO

Na Swaumu Katambo, Katavi W afanyabiashara wadogo   katika stendi ya mabasi M izengo P inda wameiomba S erikali kuharakisha ugawaji wa vitambulisho ili kuep u kana na adha ya kulipa ushuru wa H almashauri ambao una   gharama  kubwa. W akizungumza na Site Tv  wajasiriamali M jini M panda wame i lalamikia H almashauri ya M anispaa ya M panda kuwatoza ushuru pasipo kuwa na utaratibu wowote . Mkurugenzi wa M anispaa ya M panda M ichael N zyungu amesema kuwa adha hiyo imetokana na kuchele we shwa kwa vitambulisho na amewataka wajasiriamali kuwa na uvumilivu katika kipindi hiki. Vitambulisho vya ujasiriamali vilianzishwa na serikali maalumu kwa kuwasaidia wafanya   biashara wadogo kutoa huduma bila bugdha yoyote . MWISHO

BENKI ZATAKIWA KUPUNGUZA URASIMU UTOAJI MIKOPO KWA WAWEKEZAJI

Na Swaumu Katambo, Katavi Katibu Tawala wa Mkoa wa Katavi Abdallah Malela amewaomba watoa mitaji wa huduma za Kibenki  kuondoa tabia za Urasimu wa kuwachelewesha  kuwapatia mitaji  wawekezaji kwani inakwamisha maendeleo ya Nchi. Ameyasema hayo leo Machi 5, 2020 ofisini kwake wakati  akizungumza na Kituo cha Matangazo cha Site Tv kuhusu Matarajio ya Mkoa baada ya kufanyika uzinduzi wa Mwongozo wa Fursa za Uwekezaji Katavi uliofanyika Machi 3, 2020 katika Ukumbi wa Manispaa ya Mpanda. Hata hivyo ,  Malela amesema kuwa uzinduzi ume kuwa na manufaa makubwa kwani wawekezaji 17   walijitokeza siku hiyo huku akiwakaribisha wawekezaji wengine kuendelea kujitokeza kuwekeza katika Mkoa wa Katavi kwa   kuwa maeneo bado yapo na fursa nyingi za Uchumi zinapatikana. Kutokana na malalamiko ya wananchi wengi kuhitaji kitabu hicho cha Mwongozo wa Fursa za Uwekezaji Katavi kupatikana katika lugha ya Kiswahili Malela amesema kuwa Uongozi wa Mkoa wa Katavi una  mpang...

Tunashindwa Kusonga Kwa Sababu Watu Wamekuwa Wabinafsi - Rc Kunenge

Hatuwezi Kufanya Maendeleo Kwa Kubembelezana - Rc Kunenge

Lawama Ucheleweshwaji Vitambulisho Vya Machinga Wamuibua Mkurugenzi Mani...

Jeshi La Polisi Katavi Lanasa Mtandao wa Wizi wa Pikipiki

Anaswa Akiishi Kinyumba na Binti wa Miaka 14 Katavi

Ras Katavi Malela-Tuondoe Umasikini Kwa Kuwachelewesha Wawekezaji//Wapew...

Mwongozo wa Uwekezaji Katavi Wazaa Matunda//17 Wajitokeza Kuwekeza Sekta...

Dkt Mwinyi ashusha Rungu kwa Wizara ya Kilimo Zanzibar

Shuhudia Kiapo cha Mawaziri watatu na Kamishna mmoja Zanzibar

Makala Maalumu ya Jumuiya ya watumia maji Katavi// Rc Homera Abainisha m...

TUME YA MADINI YAFIKISHA ASILIMIA 75.8 UKUSANYAJI WA MADUHULI KWA MWAKA 2020-2021

Kaimu Katibu Mtendaji wa Tume ya Madini, Mhandisi Yahya Samamba amesema kuwa kuanzia kipindi cha mwezi Julai, 2020 hadi Februari 2021 katika mwaka wa fedha 2020-2021, Tume ya Madini ilifanikiwa kukusanya kiasi cha shilingi bilioni 399.3 ikiwa ni sawa na asilimia 75.8 ya lengo la kukusanya shilingi bilioni 526.7. Mhandisi Samamba ameyasema hayo leo tarehe 04 Machi, 2021 kwenye kikao chake na Kurugenzi ya Ukaguzi wa Migodi na Mazingira iliyopo chini ya Tume ya Madini jijini Dodoma ikiwa ni sehemu ya ziara yake kwenye Kurugenzi na Vitengo kwa ajili ya kusikiliza na kutatua changamoto za utendaji kazi pamoja na kuweka mikakati ya ukusanyaji wa maduhuli na uboreshaji wa mazingira ya uwekezaji kwenye Sekta ya Madini. Amesema kuwa Tume ya Madini bado inaendelea kuweka mikakati ya kuzuia mianya yote ya utoroshaji wa madini, ukusanyaji wa maduhuli, uboreshaji wa masoko ya madini sambamba na usimamizi wa afya na mazingira kwenye migodi ya madini. Katika hatua nyingine, Mhandisi Samamba amewapong...

Vitengo vya Habari Zanzibar vyadondoshewa Majukumu Mazito na Rais Mwinyi

KAMA KUNA AKILI YA UWEKEZAJI BASI IKO KATAVI- PROF MKUMBO

W aziri wa   N chi  O fisi ya  R ais  (U wekezaji )  Prof. Kitila Mkumbo akiwa na Mkuu wa Mkoa wa Katavi Mhe Juma Homera wakionyesha vitabu vya Uwekezaji mara baada ya kuzindua Muongozo wa Uwekezaji Mkoa wa Katavi, Leo tarehe 3 Machi 2021. W aziri wa   N chi  O fisi ya  R ais  (U wekezaji )  Prof. Kitila Mkumbo akisisitiza jambo wakati wa uzinduzi wa Muongozo wa Uwekezaji Mkoa wa Katavi, Leo tarehe 3 Machi 2021. W aziri wa   N chi  O fisi ya  R ais  (U wekezaji )  Prof. Kitila Mkumbo akisisitiza jambo wakati wa uzinduzi wa Muongozo wa Uwekezaji Mkoa wa Katavi, Leo tarehe 3 Machi 2021. Watumishi wa umma popote walipo nchini wametakiwa  moja ya kazi zao za msingi  iwe ni kuwawezesha na kuwasaidia watu na makampuni yanayotaka kuwekeza kufanya shuhuli zao bila bugudha yoyote. Rai hiyo imetolewa na W aziri wa   N chi O fisi ya R ais (U wekezaji )  Prof. Kitila Mkumbo M koani K atavi  katika mk...

RC HOMERA AANIKA FURSA ZA UWEKEZAJI MKOANI KATAVI

Mkuu wa Mkoa wa Katavi  Mhe J uma  H omera akielezea fursa za Uwekezaji zilizopo katika Mkoa huo wakati wa Uzinduzi wa Mwongozo wa Uwekezaji Mkoani Katavi, Hafla inayofanyika katika Ukumbi wa Mpanda, Leo tarehe 3 Machi 2021. Mkuu wa Mkoa wa Katavi  Mhe J uma  H omera akisisitiza jambo wakati akizungumza kwenye Uzinduzi wa Mwongozo wa Uwekezaji Mkoani Katavi, Hafla inayofanyika katika Ukumbi wa Mpanda, Leo tarehe 3 Machi 2021. Waweke z aji  waliohudhuria uzinduzi wa muongoz o  wa uwekezaji mkoani katavi wametakiwa kuchangamkia fursa za uwekezaji katika mkoa huo wenye zaid i  ya h ekta  45 ,000 . Akizungumza katika mkutano huo uliowakutanisha wadau wa uwekeaji kutoka maeneo mbalimbali, Mkuu wa mkoa huo Mhe J uma H omera amesema katika ujenzi wa viwanda mkoa umetenga hekari 245 kwa ajili ya uwekezaji wa viwanda mbalimbali. “K utokana na wingi wa samaki wanaovuliwa kutoka ziwa Tanganyika wakiwemo, migebuka, kuhe, sangara pamoja na kamongo, mkoa umeten...

Mbunge Anna Lupembe Ang'aka, watoto walivyopigwa Deshi