Skip to main content

Posts

Showing posts from September, 2021

Katavi Vumbi Kutimka''Chanjo ni Hiari/RMO,DMO Tegemeeni kupokea wateja w...

Moo ajiengua Uenyekiti Simba SC//Ataja mrithi wake,sababu za Yeye kuachi...

MKOA WA KATAVI KUANZISHA HUDUMA MKOBA YA CHANJO.

Picha ya Kwanza ni Mwandishi wa Habari wa TBC Mkoani Katavi Bw.Hoseya Cheyo na ya Pili ni Mwandishi wa Habari kutoka Kituo cha Redio Pamoja Fm Mkoani Katavi Bw.Paul Mathias wakipata Chanjo kwa hiari ya UVIKO-19 baada ya kupata Elimu ya kutosha kuhusu Chanjo hiyo. Picha ni baadhi ya Waandishi wa Habari Mkoani Katavi wakiwa na Wataalamu (Waliovaa nguo Nyeusi) wakielekezwa jambo. Mkuu wa Mkoa wa Katavi akizungumza na Waandishi wa Habari Mkoani humo Ofisini kwake kuhusu mkakati wa kuanza huduma Mkoba ya Chanjo ya UVIKO-19. Mwakilishi kutoka Shirika la Afya Ulimwenguni (WHO)  Boniface Makelemo akizungumza jambo kwa Waandishi wa Habari. Daktari kutoka Wizara ya TAMISEMI Dkt.Mary Shadrack akifafanua jambo.                                    **********************************************                   ...

MFUKO WA NHIF KUJA NA MKAKATI WA BIMA KWA WOTE.

Pichani ni Waandishi wa Habari wakifatilia Mkutano wa Maadhimisho ya Miaka 20 ya NHIF katika Ukumbi wa  LAPF Jijini Dodoma Septemba 24,2021. Mkurungenzi wa rasilimali na Utawala NHIF Bw.Charles Lengeju akizungumza jambo wakati akifungua Mkutano na Waandishi wa Habari Nchini katika Maadhimisho ya Miaka 20 ya NHIF. Mkurungenzi wa Huduma za Uanachama wa NHIF Bw.Christopher Mapunda akifafanua jambo mbele ya Waandishi wa Habari Nchini katika Maadhimisho ya Miaka 20 ya NHIF.                          *********************************                                         Na Aidan Felson,Site Tv-Katavi Katika kuhakikisha Afya za Watanzania zina imarika,Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) umekusudia kupeleka muswada Bungeni ili itungwe Sheria ya Bima ya Afya kwa wote. Akifungua Mkutano wa Waandi...

RC Katavi akabidhi Mwenge wa Uhuru Kigoma// Ona Staili hii yakipekee

Kijana Mlemavu Amvunja Mbavu Kiongozi wa Mbio za Mwenge, baada ya kufika...

Eng. na Mkandarasi Waminywa ''Longolongo hatutaki/Leo Usiku na Mchana''

MWENGE WA UHURU WARIDHISHWA NA MIRADI MPANDA,WAKATAA MRADI MMOJA.

Na.Swaum Katambo Mpanda - Katavi. Ikiwa Ujumbe Mkuu wa mbio za Mwenge wa uhuru Kitaifa kwa mwaka huu 2021 unasema "Tehama ni Msingi wa Taifa endelevu itumie kwa usahihi na uwajibikaji",Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Luteni Josephine Mwambashi leo Sep 24 amezindua Shughuli za TEHAMA katika Shule ya Wasichana Mpanda iliyopo Mkoani Katavi. Baadhi ya wanafunzi Shule ya Wasichana Mpanda. Mwenge wa Uhuru pia umeweza kuzindua baadhi ya klabu mashuleni zikiwemo klabu ya Mapambano dhidi ya VVU/UKIMWI katika shule ya Msingi Uruwila,Klabu ya Mapambano dhidi ya Rushwa Shule ya Sekondari Nsimbo,Klabu ya mapambano dhidi ya dawa za kulevya Shule ya Msingi Kashato na Klabu ya lishe wanafunzi wa Shule ya Msingi Katavi. Hata hivyo mwenge wa Uhuru umeweka mawe ya Msingi katika Miradi miwili ambayo ni Kituo cha Mafuta (MSS) na Ujenzi wa Barabara ya Mkumbo mita 600 kwa kiwango cha Lami. Kadhalika, Mwenge wa Uhuru umezindua vyumba viwili vya madarasa na ofisi moja shule ya Msingi Uruwila,Zaha...

Mwenge wa Uhuru wagoma kuzinduwa Mradi/ Nyumba ya Mlinzi yajengwa kwa Mi...

FISH4ACP YAJA NA MPANGO WA UTUNZAJI WA FUKWE ZIWA TANGANYIKA

Na.Swaum Katambo, Site Tv - Katavi. Ikiwa ni Wiki ya kusafisha fukwe ulimwenguni kote,Watumiaji wa Ziwa Tanganyika katika Wilaya ya Tanganyika Mkoani Katavi wameombwa kuzingatia matumizi bora ya fukwe ili kuendelea kuwa na uhifadhi wa Mazingira katika fukwe hizo. Akizungumza na chombo hiki Afisa Tarafa Kata ya Karema Mbonimpaye Ntiyonza Nkoronko amewaomba Watendaji wa Kata na Vijiji pamoja Wenyeviti wa Vitongoji kusimamia utunzaji bora wa fukwe pamoja na kuwa na Mpango Kazi wa kutembelea maeneo ya fukwe na kuhamasisha usafi wa mazingira. "Hapa kuna watu wanaitwa BMU (Beach management unit) miongoni mwa Kazi walizonazo ni kusimamia hizi fukwe zisichafuliwe na matumizi bora ya fukwe hizi,ndio maana upande wa Karema wao ukikutwa unafua au unaoga ndani ya Ziwa ni faini,kama unataka kuoga chota maji kaogee nchi Kavu na kufua chota maji kafulie nchi kavu",Amesema Mbonimpaye. Afisa Tarafa Kata ya Karema Mbonimpaye Ntiyonza Nkoronko Afisa uvuvi kutoka Shirika la Chakula Duniani (FAO)...

Chupa za plastiki na Taka ngumu,chanzo cha uharibifu wa Fukwe Ziwa Tanga...

Kutoka kuamka Saa Kumi Alfajiri kufuata huduma za Afya,sasa huduma zasog...

Zahanati ya Shanwe yaanza kutoa huduma//Zaidi ya Wananchi 50 wajitokeza,...

Mtambo wa Kapufi waanza kuchonga Barabara,ahadi yatekelezwa//Toka Mwaka ...

NFRA yaanza utekelezaji wa ununuzi Mahindi//Zaidi ya Tani 3,000 za nunul...

Vitu Vilivyoibiwa Kutoka Mikoa ya Jilani na Katavi Vyakamatwa, Wezi wash...

WAKULIMA WANUFAIKA NA KILIMO CHA UMWAGILIAJI MOMBO.

Picha ikionesha sehemu ya shamba la mpunga katika skimu ya kilimo cha umwagiliaji Mombo. Picha ikionesha Mfereji wa upili unaopeleka maji mashambani katika skimu ya kilimo cha Umwagiliaji Mombo.                                  ******************************                                              Na; Mwandishi Wetu - Mombo Wakulima katika siku ya kilimo cha Umwagiliaji Mombo Wilayani Korogwe, wamenufaika na Kilimo hicho baada ya Serikali kupitia Tume ya Taifa ya Umwagiliaji kuwajengea miundombinu inayopeleka maji mashambani pamoja na kuwajengea maghala ya kuifadhia mazao,kupata elimu ya kuongeza thamani ya zao la mpunga linalolimwa katika katika skimu hiyo pamoja na elimu ya mafunzo na matunzo ya miundombinu ya umwagiliaji. Wakizu...

DKT. NDUGULILE AKABIDHI RASMI OFISI YA WIZARA KWA WAZIRI MPYA DKT. KIJAJI

Mbunge wa Kigamboni na aliyekuwa Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhe. Dkt. Faustine Ndugulile akimkabidhi Nyaraka Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji (kulia) kama ishara ya kumkabidhi rasmi ofisi za Wizara hiyo. Katikati ni Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Dkt. Zainab Chaula akishuhudia. Mbunge wa Kigamboni na aliyekuwa Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhe. Dkt. Faustine Ndugulile akionesha zawadi ya saa aliyokabidhiwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Dkt. Zainab Chaula kwa niaba ya Menejimenti ya Wizara hiyo kwa kumkumbuka kama kiongozi aliyekuwa akijali muda , Kulia ni Waziri mpya wa Wizara hiyo, Dkt. Ashatu Kijaji. Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji (kulia) akikabidhiwa zawadi ya saa na Katibu Mkuu wake Dkt. Zainab Chaula kwa niaba ya Menejimenti ya Wizara hiyo kama ishara ya kuonesha kuwa amekuja katika Wizara hiyo kwa wakati sahihi.  ...

Mbunge aungana na Rais kwa kuwatembeza Wanahabari Hifadhi ya Taifa ya Ka...

Waziri Pinda Alia na Michezo Katavi//Atangazo Vivutio vya Utalii

Simba Day ilivyofana Katavi Nomaaaaaaa//Zawadi shangwe vyatawala.

Mapya ya Mbunge Mkoani Katavi,kufanya Mikutano Jimboni kwa Greda ili kuz...

Maswali na Majibu kikao cha Bodi ya Barabara//Sumri,Lupembe,Pinda waziwe...

Rais Samia aifanyia kufuru Katavi,Mabilioni ya Fedha yamwagwa ukarabati ...

UDESO KUTOKOMEZA UKATILI WA KIJINSIA,MIMBA NA NDOA ZA UTOTONI

Mkurugenzi wa asasi ya Usevya Development Society (UDESO) Eden Wayimba Kaimu Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe Godfrid Nkuba  Wazazi na walezi Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe Mkoani Katavi wameombwa kushirikiana na vyombo vya sheria katika kufichua matukio ya ubakaji na unyanyasaji wa kijinsia pindi yanapotokea katika jamii ili kutokomeza vitendo hivyo. Hayo yamejiri katika hafla ya uzinduzi wa Mradi wa kushiriki kutokomeza na kupinga Ukatili na Unyanyasaji wa Kijinsia,Mimba na Ndoa za Utotoni ulioandaliwa na Taasisi ya Usevya Development Society (UDESO) kwa Ufadhili wa Taasisi ya Women Fund Tanania (WFT) na kufanyika katika Ukumbi wa Kapalale uliopo Halmashauri hiyo. Wakizungumza kwa nyakati tofauti baadhi ya wadau wamesema kuwa wanakutana na changamoto pale wanapobaini vitendo hivyo ambapo wazazi na walezi hushirikiana na mhalifu kuficha uovu uliotokea. "Levo yangu ni kumpelekea Mtendaji wa Kata ambae ni bosi wangu,lakini kesi ile ukipeleka pale inavurugwa vurugwa tuu...

TRA ilivyofanya maboresho ili kuwafikia Wananchi na mabadiliko ya Sheria...

Wanaoagiza vitoto vya Kazi Iringa // Ukatili na Mimba za Utotoni // UDES...

RC Mrindoko atoa maagizo kwa Wajumbe Baraza la Ardhi na Nyumba "Msiegeme...

Kisa kizima Mtoto aliye bakwa Mkoani Katavi//"Watoto walishamzoea ni Unc...

DKT. KIJAJI AIKUMBUSHA MENEJIMENTI YA WIZARA YAKE KUTEKELEZA WAJIBU.

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Dkt. Ashatu Kijaji akizungumza na Menejimenti ya Wizara hiyo Mji wa Serikali Mtumba mara baada ya kuapishwa Ikulu ya Chamwino jijini Dodoma. Kulia ni Naibu Waziri wake, Mhandisi Kundo Mathew na kushoto ni Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Dkt. Zainab Chaula. Naibu Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhandisi Kundo Mathew (kushoto) akizungumza mara baada ya Waziri wa Wizara hiyo Dkt. Ashatu Kijaji (aliyeketi) kupokelewa na kuzungumza na Menejimenti ya Wizara hiyo Mji wa Serikali Mtumba mara baada ya kuapishwa Ikulu ya Chamwino jijini Dodoma. Katikati ni Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Dkt. Zainab Chaula. Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Dkt. Zainab Chaula akizungumza wakati wa kikao cha Waziri wake Dkt. Ashatu Kijaji (kushoto kwake) na Menejimenti ya Wizara hiyo mara baada ya kuapishwa Ikulu ya Chamwino jijini Dodoma. Anayefuata baada ya Dkt. Kijaji ni Naibu Waziri wake Mhandisi Kundo Mathew....

"Kwa Wiki hakikisha umefanya Mazoezi,Watoto wenu watengeeni muda wa Mazo...

Mhandisi aingia 18 za RC,ahojiwa Majengo kukosa ubora mwenyewe ajikanyag...

Maalekezo ya Naibu Waziri Utamaduni,Sanaa na Michezo kwa Shule za Bweni/...

Site Tv na Vyombo vingine vyatambuliwa Sekta ya Michezo//Lupembe atamani...

Uchambuzi mjaarabu Timu zinazoshiriki Michuano ya Klabu Bingwa Afrika//Y...

Kilio cha Wafanyabiashara wa Mahindi waungana na Wabunge//Hali ya Soko n...

Ukweli kuhusu Jezi za Simba na Yanga//Jezi ipi inatoka zaidi? Zimeadimika.

TANZANIA YAKIPIGIA CHAPUO KISWAHILI KUTUMIKA MIKUTANO YA UNWTO.

Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt.Damas Ndumbaro ( kushoto) akizungumza na Waziri wa Utalii wa Kenya, Mhe.Najib Balala mara baada ya kumalizika kwa Mkutano  wa Kimataifa wa 64 wa Utalii Kanda ya Afrika uliomamalizika kufanyika nchini humo, Wa pili kulia ni Waziri wa Utalii nchin Cape Verde ambapo wamesema kuwa lugha ya Kiswahili iwe ni agenda ya kudumu katika mikutano hiyo ili Lugha ya kiswahili iweze kutumika kama lugha ya kufundishia na mawasiliano katika mikutano ya UNWTO. Katibu Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Utalii, Zurab Pololikashvili ( wa pili kushoto)  akiwa na baadhi ya Viongozi wa Cape Verde wakiwa wamesimama mara wakiimba wimbo wa taifa wa taifa hili katika Mkutano  wa Kimataifa wa 64 wa Utalii Kanda ya Afrika uliomamalizika kufanyika nchini humo, Wa pili kulia ni Waziri wa Utalii nchin Cape Verde, Mhe. Carlos Santos Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt.Damas Ndumbaro (katikati) akiwa na Balozi wa Paris Ufaransa Mhe.Samwel Shelukindo pamoja na Mawaziri ...

Hatua Kali zitachukiliwa kwa Mtoto yoyote Atakaekutwa Kwenye Bonaza

Wanunuzi wa Mazao walia na gharama za Ushuru na Usafirishaji // Tunashin...

Wanunuzi wa Mazao walia na gharama za Ushuru na Usafirishaji // Tunashin...

Taasisi ya UTT AMIS yatua Katavi//Yatoa Elimu ya kujiwekea Akiba.

Rais Samia aeleza dhamira ya Kipindi cha Royal Tour//Kuitangaza Tanzania...

Sababu hizi hapa kwanini Mtu anakunywa Pombe hadi kushindwa kujitambua.

Mkandarasi aagizwa kuviondoa Vifusi vilivyokaa takribani Miezi 2 Barabar...

Manispaa ya Mpanda yatajwa kuwa ni chafu "Mkaanze amsha amsha za kuhakik...

Wazazi waonywa kuwarubuni Watoto wao kufanya vibaya katika Mitihani "Tut...

RC amtaka RMO kutoa ripoti ya Mil.400 ndani ya Siku 7//Kituo cha Afya To...

Zaidi ya Ekari 100 zatengwa kwa ajili ya Uwekezaji Viwanda//RC Katavi aw...

Mbele ya Askofu Gwajima Rais Samia auliza kuhusu Chanjo//Tozo za Miamala...

Maji Mapinduzi sasa full kujiachia,"Msije mkatuzingua kwa kuanza kuleta ...