Ni baada ya wahamiaji haramu watano waliokamatwa na maafisa wa uhamiaji kushindwa kufanyiwa vipimo. Na Mwandishi Wetu, Katavi. MGANGA Mkuu wa Mkoa wa Katavi Dkt Omary Sukari anapaswa kujieleze kutokana na kukiuka maagizo aliyopewa March 28 mwaka huu kwenye kikao cha dharura PHC cha maelekezo ya kukabiliana na ugonjwa wa COVID-19 unaosababishwa na virusi vya Corona., Kikao hicho ambacho kililenga pia kusambaza muongozo wa karatini kwa wageni wote wanaoingia mkoani humo kupitia njia mbali mbali za usafiri kama vile wa mabasi na meli ambapo yalitolewa maadhimio ya kuhakikisha kila eneo la mpaka wa Mkoa linakuwa na kituo maalumu cha kizuizi kwa ajili ya ukaguzi wa kitabibu na karatini pamoja na wataalamu wa afya ili kabla ya mtu hajaingia mjini apimwe kwanza. Akitoa kauli hiyo Mkuu wa Mkoa wa Katavi Comrade Juma Homera baada ya kufanya ukaguzi wa kushitukiza ili kuona utekelezaji wa maagizo yake katika kituo cha kizuizi ...
Karibu kwenye Blog Yetu na tupo tayari kukuhabarisha kwa Habari na Matukio mbalimbali kwa Weledi Masaa 24 popote ulipo,kama una taarifa au unataka kutangaza na Sisi tafadhali wasiliana nasi kupitia ukurasa huu. Pia tunapatikana YouTube @sitetvtz,Instagram,Twitter na Facebook @sitetvtz. Ofisi zetu zipo Jengo la Mpanda Plaza Ghorofa ya 3,Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi.