![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiDHJIlkV8OZGGMS150_onqpbt1FeuRKhvn5GXTvsHdAbRArljVf-x5hJilHaDVBa2sBcPKpuplMKQiHrSXT932cj_tzAqoCcwDzmzxStOdABh2xvi-sX2a7Wzhpim-FFj0Mg9XWkbPv1c/s640/79238559_432473720746825_3413523861893597463_n.jpg)
Na Swaumu Katambo, Katavi W afanyabiashara wadogo katika stendi ya mabasi M izengo P inda wameiomba S erikali kuharakisha ugawaji wa vitambulisho ili kuep u kana na adha ya kulipa ushuru wa H almashauri ambao una gharama kubwa. W akizungumza na Site Tv wajasiriamali M jini M panda wame i lalamikia H almashauri ya M anispaa ya M panda kuwatoza ushuru pasipo kuwa na utaratibu wowote . Mkurugenzi wa M anispaa ya M panda M ichael N zyungu amesema kuwa adha hiyo imetokana na kuchele we shwa kwa vitambulisho na amewataka wajasiriamali kuwa na uvumilivu katika kipindi hiki. Vitambulisho vya ujasiriamali vilianzishwa na serikali maalumu kwa kuwasaidia wafanya biashara wadogo kutoa huduma bila bugdha yoyote . MWISHO
Comments
Post a Comment