Skip to main content

POLISI KATAVI WAMEWAKAMATA WAHALIFU NA SILAHA ZA KUTISHA


Mkoa wa Katavi wakamata wahalifu wa ujangili 17 wa mbao na Nyamapori Raia wa Burundi na silaha 50 aina ya SGM 13,G3 idadi 3,Rifle 1 na Gobole 33 na kubaini mafundi wanao tengeneza Silaha aina ya Gobole eneo la Katumba na mishamo katika makazi ya Raia wapya kutoka Burundi waliopewa uraia na mbali na silaha lisasi 28 zimekamatwa, kamba za kutegea wanyama zaidi ya 20,


Akizungumza mkuu wa mkoa wa Katavi Comrade Juma Zuberi Homera kwamba, oparesheni hiyo iliyodumu Siku 21 ilijumuisha vyombo mbalimbali vya ulinzi na usalama kwa kushirikiana na taskforce ya mkoa huo.

Author : Mkutubi26
Publisher : Pizo


Comments

Popular posts from this blog

Mkuu wa Mkoa wa Katavi akibidhiwa Ofisi,aelezwa Miradi ya kusimamia.

Mkuu wa Mkoa wa Katavi Bi,Mwanamvua Hoza Mrindoko wa kwanza Kushoto akiwa na Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Juma Zuberi Homera wakati wa makabidhiano ya Ofisi. Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Katavi Beda Katani. Wakuu wa Wilaya,Kulia ni Mkuu wa Wilaya ya Mpanda Jamila Yusuf na Mkuu wa Wilaya ya Mlele Rachel Kasanda. Na Mwandishi Wetu,Site Tv Mapema leo Mei 25,2021 Mkuu wa Mkoa wa Katavi Mwanamvua Hoza Mrindoko,amekabidhiwa Ofisi na aliye kuwa Mkuu wa Mkoa huo Juma Zuberi Homera aliye hamishiwa Mkoani Mbeya kuwa Mkuu wa Mkoa. Katika makabidhiano hayo,Homera amemtajia Mkuu wa Mkoa wa Katavi miradi ambayo inatakiwa kusimamiwa hadi ikamilike ni pamoja na Bandari ya Karema,Hosipitali ya Rufaa Mkoa,Kiwanda cha Nguo,Jengo la Utawala pamoja na Umeme wa Gridi ya Taifa. Aidha,amesema Katavi ni Nyumbani hivyo atatoa ushirikiano kwa Mkuu wa Mkoa wa Katavi huku akiwakaribisha Viongozi na Wananchi kwa ujumla katika Mkoa wa Mbeya. "Kuna hili la Gridi ya Taifa ambalo linaendelea,kuna Kiwan...

Tabasamu hili kwa Wanafunzi,Nuru imewaka Juu yao/Mwekezaji afanya Jambo ...

Ajira Mpya Wakaribishwa Mlele, Full Kula Bata/Makubwa yaja