Skip to main content

Posts

Showing posts from October, 2022

Diwani na TARURA uso kwa uso,"Naomba Mwenyezi Mungu anipe roho ya kushuka"

Katavi: Diwani matatani kwa kumjeruhi Mkewe shingoni.

TANGANYIKA: WATU 32,000 WAPATA CHANJO YA UVIKO-19 NDANI YA SIKU SABA.

Sehemu ya Wananchi wa Luhafwe wakiwa wamejitokeza kupata chanjo ya UVIKO-19 leo Oktoba 31,2022. Mratibu wa chanjo Halmashauri ya Wilaya ya Tanganyika, Philip Mihayo. Zawadi Dakika,Afisa miradi kutoka Taasisi ya Benjamini Mkapa Shaban Juma,Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Tanganyika. Dokta Alex Mrema,Mganga Mkuu Wilaya ya Tanganyika. Na Aidan Felson,Site Blog-Katavi. ****************************************** HALMASHAURI ya Wilaya ya Tanganyika Mkoa wa Katavi kwa kushirikiana na Taasisi ya Benjamini Mkapa imefanikiwa ndani ya siku Saba kuwafikia na kuchanja Watu 32,000 wa chanjo ya kuzuia ugonjwa wa UVIKO-19 katika Halmashauri hiyo, kupitia kampeni ya uhamasishaji wa uchanjanji nyumba kwa nyumba ya siku Tisa. Akizungumza na waandishi wa habari katika eneo la Kijiji cha Luhafwe sehemu iliyotengwa maalum kwa ajili ya utoaji chanjo,Mratibu wa chanjo Halmashauri ya Wilaya ya Tanganyika, Philip Mihayo amesema idadi hiyo imefikiwa kutokana na hamasa na mbinu shirikishi iliyotumika...

VIONGOZI WA WAFANYAKAZI WATAKIWA KUNOLEWA CHUONI MBEYA.

Na  Castus Bhusolo,Site Blog-Mbeya . ********************************* VIONGOZI wa vyama vya Wafanyakazi nchini wameombwa kuleta wafanyakazi wao katika chuo cha wafanyakazi OTU kilichoko mkoani Mbeya ili kupewa elimu itakayowasaidia kuondokana na migogoro ndani ya Vyama. Ameyasema hayo Rais wa shirikisho la Vyama vya wafanyakazi nchini TUCTA Tumain Nyamhokya wakati akifunga mafunzo maalumu yaliyotolewa kwa wafanyakazi. "Nawashukuru sana kwa ushirikiano wenu katika semina hii, Mmejifunza muundo wa vyama vyetu vya wafanyakazi, chati ya uongozi katika vyama vyetu lakini pia mmejifunza majukumu yenu kama wajumbe wa kamati tendaji ya Taifa ya chama cha wafanyakazi TALWGU ninaamini elimu hii mtaitumia vyema kwa manufaa ya chama na wafanyakazi kwa ujumla" "Chuo hiki cha wafanyakazi Mbeya kilichangiwa na wafanyakazi wote nchi nzima wako waliokatwa kwenye mishahara yao na chuo hiki kikajengwa kimejengwa mwaka 1974-1975, 1976 kikaanza kutoa mafunzo nitoe wito kwa waajiri na vion...

Katavi: Mwenyekiti Mtaa wa Shanwe adaiwa kupigwa Risasi,Diwani na Viongo...

Viongozi pasua kichwa migogoro ya Ardhi//Watu wauziwa eneo la VETA,Mkuu ...

MPIMBWE: VIONGOZI WA SERIKALI ZA MITAA CHANZO CHA MIGOGORO YA ARDHI.

Mkuu wa Wilaya ya Mlele Filberto Sanga akizungumza wakati wa Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe Oktoba 27,2022. Na Aidan Felson, Site Blog-Katavi. ******************************************** IMEBAINISHWA kuwa,Migororo ya Ardhi katika Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe Mkoani Katavi inazidi kuongezeka kila siku,huku chanzo cha migogoro hiyo kikitajwa ni viongozi. Hayo yamebainishwa na Mkuu wa Wilaya ya Mlele Filberto Sanga,wakati wa kikao cha Baraza la madiwani la halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe lililofanyika Oktoba 27,2022 katika ukumbi wa mikutano wa halmashauri. Sanga amesema wapo baadhi ya viongozi wasio waadilifu wanatumia nafasi zao kuwachochea wananchi kuvamia maeneo ikiwemo viongozi hao kuwatapeli Wananchi kutoa maeneo yao kwa madai ni kwa ajili ya matumizi ya Kijiji wakati sio kweli. Akitolea mfano moja ya mgororo,DC Sanga amesema "Kulikuwa na suala kule Ukimbwamizi,suala la mnara wa Voda,ule mgogoro ni ujanja tu. Wale viongozi wangu wanaelea,baada ya ...

WAHANGA WA VYETI "FEKI" WARUDISHIWA TABASAMU.

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Nchini (TUCTA) na  Makam M/kiti wa TALWGU   Tumaini Nyamhokya. Na Castus Bhusolo,Site Blog-Mbeya. *************************************************************** KUFUATIA taarifa ya Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Ajira, Vijana na wenye Ulemavu, Joyce Ndalichako ya kuutaarifu UMMA kwamba Rais Samia Suluhu Hassan ameridhia maombi ya viongozi kuwalipa wale wafanyakazi waliopata shida ya vyeti Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Nchini (TUCTA),Tumaini Nyamhokya amewaongoza wafanyakazi wengine kumpongeza Rais Samia kwa moyo wake wa kuwajali na kuwafuta machozi wafanyakazi walioondolewa kwenye mfumo wa ajira kwasababu ya changamoto ya Vyeti. Nyamhokya ambaye pia ni Makam M/kiti wa TALWGU amesema wafanyakazi hao Walitoka ghafla lakini sasa wanakwenda kulipwa Stahiki zao kila mmoja kwa kadri ya kiwango alichoweka. "Ni ukweli wa wazi kuwa waliumia kwakuwa hawa wenzetu walizoea makazinii hawakujua kama kuna siku wataon...

DC Mlele asitisha shughuli eneo lenye Mgogoro wa Viongozi BAKWATA "Kila ...

Wagonjwa wakosa huduma baada ya Mganga wa Kituo kutotokea,Apigiwa simu,M...

Mafunzo ya Pamba kwa Wakulima Mpanda yapandisha Mapato,Mwanri alia na Ma...

Madiwani Katavi watakiwa kuwa mstari wa mbele kuhamasisha kilimo cha Pamba

Gaweni tenda kwa Wananchi ujenzi wa miradi wagawane riziki sio kumrundik...

Mpanda: Mtoto wa Miaka 10 auwawa na wezi wa Mifugo akiwa machungani.

Walimu acheni kushinda Mjini,Tunafuatilia utendaji wenu wa kazi//Mwongoz...

Nimekuja na sera mpya inaitwa "kuchongea bila kubambikizia" - Balozi wa ...

Vituko vya Aggrey Mwanri uzinduzi wa Msimu wa Kilimo Tanganyika,DC Buswe...

Mlele: Wananchi walioondolewa Hifadhi watakiwa kuwa na subra,Ripoti ya Ma...

Kikosi cha Jeshi 24KJ kilivyohitimisha zoezi la "Kazi iendelee"//Sanga a...

Hii hapa ratiba ya Siku ya MwanaKatavi na Miss Utalii,RC Katavi awaita w...

Mgogoro Bwawa la Milala,RC Mrindoko atoa Siku 15 kwa Kamishna wa Ardhi.

Mkurugenzi Mpanda asisitiza hadhi ya Manispaa akishiriki usafi soko la M...

Hospitali ya Mkoa wa Katavi kuanza kazi Novemba 14,2022,TANESCO yapewa W...

Katavi yamuenzi Baba wa Taifa kwa kuwafariji wagonjwa "Alipiga vita mara...

VIJANA, WANAFUNZI NA HATARI YA KUFANYIWA UHALIFU MTANDAONI.

Mtaalam wa Usalama Mtandao na Uchunguzi wa Kidijitali, Bw. Yusuph Kileo akiwasilisha mada ya kuwajengea uelewa juu ya Elimu ya Usalama Mtandao wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Jangwani Oktoba 12, 2022, jijini Dar es Salaam. Matukio mbalimbali katika picha wakati wa mafunzo ya elimu ya Usalama Mtandao katika  Shule ya Sekondari ya Jangwani, Oktoba 12, 2022 jijini Dar es Salaam. ********************************************* Na Mwandishi Wetu,Dar Es Salaam. VIJANA na wanafunzi ni kundi lenye hatari kubwa ya kukumbwa na uhalifu wa mtandaoni kwa sababu ndio kundi lenye matumizi makubwa ya mtandao kwa ajili ya kufanya utafiti wa masomo, kununua vitu mtandaoni pamoja na matumizi ya mitandao ya kijamii kama twitter, whatsapp, intagram, tiktok n.k. Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari katika kuadhimisha mwezi wa kujenga uelewa kuhusu usalama mtandao unaoadhimishwa mwezi oktoba kila mwaka duniani pote imewafikia wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya wasichana ya Jangwani na ...

Asilimia 56 ya Wananchi Katavi wapata Chanjo ya UVIKO-19,Watu zaidi ya L...

Migogoro ya Ardhi; Wananchi waiangukia Kamati ya Mawaziri 8 Katavi, Seri...

Tahadhari!! Wanachi Katavi watakiwa kuchukua tahadhari dhidi ya Kipindup...

Tanganyika yazindua ujenzi wa Madarasa 9 kupitia Fedha za "Pochi ya Mama"

Katavi ya 14 Kitaifa suala la Lishe,Mlele yajitoa kimasomaso//Mikataba y...

Serikali Katavi yatangaza kiama usafi Siku ya Jumamosi,Maagizo mazito ya...

Marufuku kuosha vyombo vya moto kwenye mto "Hata kama utakuta gari limea...

Mkurugenzi atamba na Fedha za Madarasa "Hapendezwi na tabia ya Watoto ku...

Jeshi la Polisi Katavi limetoa ripoti ya hali ya ukatili ndani ya Miezi ...

Dua za RC Katavi kwa Peleleza anayesafiri kwa Baiskeli hadi Butiama kumu...

Ofisi ya Ardhi Katavi yaja na mkakati mtaa kwa mtaa utoaji hati,Wananchi...

Katavi yamshukuru Rais Samia Mabilioni ya Madarasa mapya,hakuna Mwanafun...

Agizo la RC Katavi kwa Wazazi na wahitimu wa Darasa la Saba "Maandalizi ...

Wananchi kupewa somo la kusimamia Miaradi na Fedha za Umma,Sasa kuanza n...