Skip to main content

Posts

Showing posts from July, 2021

Madiwani waikubali Halmashauri//Wakosa cha kujadili kwenye ripoti//Watak...

Mbunge akubali Yeye ni mzembe//"Leo nimekimbia Mwili nauona mwepesi"//No...

Kilio cha Mbunge kwa Rais utelekezwaji Hospitali ya Mkoa//"Takribani Mie...

Majani ya Tomato yanavyoweza kutibu Ugonjwa wa UTI//Ndani ya Muda wa Sik...

Meya amuondolea uvivu Mbunge uchonganishi//Hoja ya Viwanja na fidia//Ata...

Ubunifu wa hali ya juu//Mwanafunzi atengeneza Transifoma inayofua Umeme/...

Unasumbuliwa na Meno tazama hii Sayansi ya Wanafunzi Mpanda Girls//Waiom...

Kama unasimamia Taasisi fata maelekezo haya//Wasimamizi wa Mageti wapewa...

Hali ya Udumavu,Utapia Mlo Katavi hairidhishi//Hatuwezi kuendelea kushik...

Gwajima amtaja Rais Samia kama Kiongozi Jasiri na mwenye uthubutu.

Maelekezo kwa Wateja Benki ya CRDB tawi la Mpanda//Ukienda kupata huduma...

Kiongozi wa Dini aeleza alivyochekwa//Msimamo Viongozi wa Dini Katavi ku...

RC Katavi akutana na Viongozi wa Dini//Wajadiliana namna ya kuwakinga Wa...

RAIS WA ZANZIBAR DKT. MWINYI AKABIDHIWA TUZO NA RAIS WA UFARANSA.

Rais wa Zanzibar Dk. Hussein Mwinyi akivalishwa Tuzo na Balozi wa Ufaransa Nchini Tanzania Mhe.Frederic Clavier kwa niaba ya Rais wa Jamhuri ya Ufaransa Emmanuel Macron. Na,Rajab Mkasaba, Ikulu Zanzibar RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi ametunukiwa Tuzo ya Juu ya Heshima inayofahamika kama “Legion d’ Honner” na Rais wa Jamhuri ya Ufaransa Emmanuel Macron kutokana na mchango wake mkubwa wakati akiwa Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa la Tanzania. Rais Dk. Mwinyi alitunukiwa Tuzo hiyo leo na Balozi wa Ufaransa Nchini Tanzania Mhe.Frederic Clavier kwa niaba ya Rais wa Jamhuri ya Ufaransa Emmanuel Macron, tukio lililofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar ambapo Balozi huyo alihudhuria akiwa na ujumbe wake. Rais Dk. Mwinyi alitoa shukurani zake za dhati kwa Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron kwa kumtunukia Tuzo hiyo iliyotokana na kuthamini kwa dhati mchango wake mkubwa alioutoa wakati akiwa Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa...

Kituo cha Afya kilichowakosha Kamati ya Siasa Mkoa//Mwenyekiti apiga Sal...

Wanafunzi wanalazimika kusubiriana kwenda maliwato//Kisa uhaba wa Matund...

TAKUKURU Katavi yabaini mapungufu kwenye Miradi//Malalamiko 74 yapokelewa.

NAIBU WAZIRI APIGA MARUFUKU KURUBUNI WANANCHI MAENEO YA UJENZI WA MINARA.

Naibu Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhandisi Kundo Mathew (katikati) akizungumza katika eneo la ujenzi wa mnara wa TTCL katika kijiji cha Chang’ombe kilichopo Wilaya ya Kongwa Mkoani Dodoma wengine ni watendaji aliombatana nao na wananchi wa eneo hilo. Naibu Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhandisi Kundo Mathew (wa pili kulia) akipokea zawadi ya gunia la mahindi kutoka kwa wananchi wa Kijiji cha Njoge alipofika kukagua ubora, uwezo na upatikanaji wa huduma ya mawasiliano katika baadhi ya maeneo ya Wilaya ya Kongwa. Naibu Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhandisi Kundo Mathew (wa pili kulia) akikagua kitabu cha mahudhurio kwenye kituo cha huduma za Mkongo wa Taifa wa Mawasiliano kilichopo katika Ofisi za TTCL Wilaya ya Kongwa Mkoani Dodoma. Wa kwanza Kushoto ni Mkuu wa Wilaya ya Kongwa Mhe. Remedius Mwema Emmanuel. Naibu Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhandisi Kundo Mathew (wa pili kushoto) alipotembelea Ofisi za Shirika la Posta...

Baada ya uvumi kuwa Polisi Mkoani Mbeya wamevunja Kanisa//Kamanda Matei ...

Kiongozi wa Kanisa aeleza''Hakuna Askari walioingia Kanisani wala kikund...

Wagonjwa wa COVID-19 wagundulika Katavi//Mwongozo watolewa,mikusanyiko y...

TTCL YATAKIWA KUONESHA USHINDANI KATIKA SOKO LA MAWASILIANO NCHINI.

Naibu Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhandisi Kundo Mathew (Aliyesimama katikati kwenye Chuma) akizungumza katika eneo la ujenzi wa mnara wa TTCL katika kijiji cha Masenge Mamiwa Wilaya ya Gairo Morogoro wengine ni watendaji aliombatana nao na wananchi wa eneo hilo. Naibu Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhandisi Kundo Mathew (wa kwanza kulia) akizungumza katika eneo la ujenzi wa mnara wa TTCL katika kijiji cha Masenge Mamiwa Wilaya ya Gairo Morogoro wakati wa Ziara yake ya kukagua miundombinu na upatikanaji wa huduma ya mawasiliano katika Mkoa huo. Naibu Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhandisi Kundo Mathew (wa pili kulia mstari wa mbele) akizungumza wakati wa ziara yake katika mnara wa mawasiliano wa TTCL uliopo katika Kijiji cha Kiganira Morogoro vijijini. Wa kwanza kulia ni Mkuu wa Wilaya ya MorogoroVijijini Mhe. Albert Msando. Naibu Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhandisi Kundo Mathew akizungumza wakati wa ziara yake ya kuka...

Kauli za Wamasai Mchezo wa FA Kigoma Simba na Yanga//Wataja Mabao kwa Ki...

Zijue faida za Mafuta ya Mawese//Aliyesumbuka na tatizo la Macho aeleza/...

Onyo Makampuni yanayopima Viwanja//"Huwezi kuwa na Kampuni inayotegemea ...

Manung'uniko ya Wafanyabiashara//Kicheko,Busara yatumika//Mbunge awakuta...

MIKATABA YA LUGHA ZA KIGENI KWA WANANCHI YAMKERA NAIBU WAZIRI.

Naibu Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhandisi Kundo Mathew (wa tatu Kulia mstari wa mbele) akifuatiwa na Mbunge wa Muheza Mhe. Hamis Mwinjuma wakisikiliza maelezo ya Mradi wa Ujenzi wa mnara wa mawasiliano kutoka kwa mwakilishi wa kampuni ya Halotel (mwenye shati la pinki) wakiwa eneo la mradi wa ujenzi wa mnara wa mawasiliano wa kampuni hiyo wengine ni wananchi na baadhi ya watendaji wa Serikali walioambatana nae. Naibu Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhandisi Kundo Mathew akizungumza na watendaji wa TTCL kuhusu usambazaji wa huduma za Mkongo wa Taifa wa Mawasiliano katika chumba cha maunganisho ya huduma hiyo kilichopo katika jengo la Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Horohoro Wilayani Mkinga. Naibu Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhandisi Kundo Mathew (kushoto) akizungumza na watendaji wa TRA katika eneo la mashine ya kukagulia mizigo alipotembelea jengo hilo kwa lengo la kukagua huduma ya Mkongo wa Taifa wa Mawasiliano iliyofikishwa katika ...

Pinda na mikakati ya kuinua Vipaji Jimboni kwake//Ligi ngazi ya Kata yaa...

Mhe. Angeline Mabula ashusha Somo Katavi/Azindua Nyumba za kisasa

Daraja lenye Historia kubwa tangu enzi za Uhuru, Waziri Ummy kalikanyaga

UWT yalia na ukatili wa Kijinsia//Mbunge Mbogo,DC Jamila watoa ushauri//...

CCM acheni makundi,ongezeni Wanachama//Tutakipasua chama kwa 100%.

Nilipokuomba wala hukusita kunipa//Wananchi hawa ni mashahidi.

Huyu ndiye Biharusi Mwenye Tabasamu Zuri /Tupigie0765809700/ 0621096901 ...

TCRA NA UCSAF WAPEWA MWEZI MMOJA KUJA NA MAPENDEKEZO KUTATUA CHANGAMOTO ZA MWINGILIANO WA MAWASILIANO MIPAKANI.

Naibu Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhandisi Kundo Mathew akiangalia upatikanaji wa huduma ya mawasiliano ya simu katika eneo la Hifadhi ya Mlima Kilimanjaro (KINAPA) katika lango la Machame lililopo wilayani Hai Mkoani Kilimanjaro katika ziara yake ya siku mbili katika mkoa huo. Kushoto ni Katibu Tawala wa Wilaya ya Hai Upendo Wella. Naibu Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhandisi Kundo Mathew akisisitiza jambo kwa Kamishna Msaidizi wa Uhifadhi wa KINAPA Angela Nyaki wakati wa ziara yake ya kukagua upatikanaji wa huduma ya mawasiliano ya simu katika eneo la Hifadhi ya Mlima Kilimanjaro lango la Machame lililopo wilayani Hai Mkoani Kilimanjaro. Naibu Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhandisi Kundo Mathew akizungumza na wananchi kupitia redio Boma FM 89.3 inayomilikiwa na Halmashauri ya Wilaya ya Hai Mkoani Kilimanjaro wakati wa ziara yake ya kukagua ubora na upatikanaji wa huduma ya mawasiliano ya simu katika Wilaya hiyo. Naibu Waziri wa Mawasi...

Shamba la Bangi lateketezwa Hifadhi ya Katavi//Watuhumiwa wakamatwa,Jesh...

Nyumba za Watumishi zilizomkosha Waziri//Serikali yaona wivu,hasira zawa...

Ummy akutana na mazito,ashangazwa//Toka ahamishiwe Wizara ya Tamisemi ha...

Wilaya ya Tanganyika ya Mshangaza Waziri Ummy kwa kuwa na Mradi wa Hewa ...

Halmashaul ya Wilaya ya Tanganyika Yapongezwa kwa Kukamilisha Mradi wa A...

Mama alivyo wachongea Watumishi wa Afya kwa Waziri baada ya kuambiwa hak...

Pesa za Soko zaliwa jamani//Kabwaga Walimu 8,Wanafunzi 1118//Vyumba vya ...

Serikali ya Awamu ya 6 na mkakati kuboresha Barabara Vijijini//Bajeti ya...

Zijue Changamoto zinazo ukabili Mkoa wa Katavi//Eneo la Mazishi latajwa,...

Manispaa ya Mpanda yamkosha Waziri matumizi Fedha za ndani//Maagizo mazi...

Tume ya Uchaguzi yapongezwa kufanikisha Uchaguzi Mkuu wa 2020//Changamot...

DED Mpimbwe aeleza namna walivyovunja rekodi ukusanyaji Mapato kwa Asili...

Maagizo ya Waziri Ummy kwa TARURA//Wataalamu Ofisi ya Katibu Tawala sima...

Naibu Waziri wa Nishati aruka kama Umeme//Tanganyika mambo safi Mradi Um...

Mbunge apewa Jina la Lini? Baada ya kumbana Naibu Waziri wa Nishati//Mha...

Tunatamani sana ile Zahanati tujenge,wa kina Mama wanapata shida//Mama m...

Wamama Walia na Wauguzi wa Zahanati ya Kapanda kwa Kuwanyanyapaa

Mradi Umekaa zaidi ya Miaka Miwili Ujaisha//Wananchi wanataka Maji na si...

Diwani mhamasishaji Bima ya iCHF anogewa//Watoto wataja dalili za Corona...

NCO kuja na Kampeni ya kutokomeza Ukatili Katavi//Lishe kwa Wanafunzi Mi...

Malkia wa Yanga Amjibu Manara

Vijana Full Doz,Nyuki na Nyigu tishio kwa Wananchi Katavi//Kazi yao kuwa...

Zikeni kwenye Makaburi yaliyo Karibu//Serikali ya Ruhusu//Eneo kubwa kua...

Rais Samia amaliza ziara Morogoro kwa mambo haya//Elimu bila malipo,Umem...

RUWASA yatekeleza Miradi ya Maji Manispaa ya Mpanda//25% zimesalia Maji ...

DED Mpimbwe awafunda Wajasiriamali//"Lengo tuondoe lile daraja la umasik...

Tizama namna Kunguru walivyo fumaniwa//Vijana wanalo la kujifunza.

Mbunge alia na Mimba za Utotoni,Watoto kutokwenda Shule.

TANESCO RUVUMA YASAMBAZA UMEME VIJIJI 119.

  Jengo la TANESCO Mkoa wa Ruvuma Baadhi ya watumishi wa TANESCO wakiongozwa na Meneja wa TANESCO Mkoa wa Ruvuma Florence Mwakasege walipotembelea ofisi ndogo ya TANESCO Madaba wilayani Songea. Kituo cha kupozea umeme wa gridi kilichopo Unangwa mjini Songea. Na,Albano Midelo Afisa Habari Mkoa wa Ruvuma. SHIRIKA la Umeme Tanzania (TANESCO) mkoani Ruvuma kupitia Wakala wa Umeme Vijijini (REA) limefanikiwa kusambaza umeme katika vijiji 119 kati ya lengo la kusambaza umeme vijiji 161. Meneja wa TANESCO Mkoa wa Ruvuma Mhandisi Florence Mwakasege amesema mradi huo umetekelezwa kupitia REA awamu ya tatu mzunguko wa kwanza ukihusisha pia ujenzi wa njia mbili za umeme wenye urefu wa Kilometa 106 kuelekea kituo cha kufua umeme wa maji Nakatuta Mto Ruvuma. Amezitaja gharama za mradi huo kuwa ni zaidi ya shilingi bilioni 43 na kwamba vijiji ambavyo bado havijasambaziwa umeme utekelezaji wake upo katika hatua mbalimbali. Mhandisi Mwakasege amesema tayari wateja 5,902 wa awali wameunganishiwa ka...

Maneno kuntu ya Mbunge wa Nsimbo kwa waBaba//Baba akimtafutatafuta anamt...

Wananchi wamuomba Rais ageuke wampige Picha//Niwaombe sana Ndugu zangu,V...

Masikinii!!! Baba alia hadharani mbela ya Rais//Ajali ya Moto Morogoro//...

Tatizo uharibifu wa Mazingira,vyanzo vya Maji//Ng'ombe halagi Mti,haya M...

Anna Cup yamwaga Pesa kuhamasisha Michezo//"Juzi nyinyi si mliifurahia Y...

Mpimbwe na Mpango kabambe Mikopo 10%//SIDO watoa somo kwa wakopaji//Viku...

Serikali yakiri kuutambua mgogoro wa Ardhi//Unawahusisha Wananchi na Kam...

Sababu za Wanandoa/Wapenzi kutoka Nje ya Mahusiano yao//"Watulie maana s...

"Waje Kigoma watakuta Moto unawaka//Watatumbukia Tanganyika wataenda wan...

Ebwana eee!!! Kashifa nzito//Yanga wayamwaga bila woga//Simba Vichwa chini.

Mbogo amtembelea Malkia wa Yanga//"Simba atakula Goli 4,Moja la Hosea Ch...

Rais Mwinyi katika Sala ya Ijumaa//"Udhaifu Wetu isije ikawa hasara dhid...

Tambo kuelekea Kariakoo Derby//"Utopolo wanazungumza lakini wanajua"//"S...

'Nikutane na Haji Manara nimpashe LIVE Gori 4 Simba wanapigwa Mbio hadi ...

Rais Mwinyi aridhia//Atoa Baraka zake zote.

Historia ya kusikitisha//Watoto Wawili walifariki Dunia palepale//Umeanz...