Skip to main content

Posts

Showing posts from November, 2021

Utakubali Muziki Fedha za UVICO-19//Wanafunzi waelewa Somo "Hakuna kuole...

Asasi zaonywa,watafutwa kwenye simu,hawana Ofisi ni magumashi//Kila kite...

Wapotea Miezi 5,kutoka Katavi apatikana Uvinza//Ahojiwa,aeleza alikuwa k...

Boss alijua Mfanyakazi wake kashakufa,alitokomea kusikojulikana kukimbia...

"Tusiendekeze Ukoloni mambo leo wa kudharau vya kwetu"//Wapigwa mwingi,M...

Zege halilali,Miaka 60 ya Uhuru na mapya yake//Mguu kwa Mguu kuhamasisha...

Wananchi shangwe Vyeti vya Kuzaliwa//Faida yake hadi kwenye Ajira.

Raia na asiye Raia wote wana haki ya kupata Cheti cha Kuzaliwa//Idadi ya...

WAZIRI NDUMBARO ATOA RUHUSA YA KUSAFIRISHA MAKONTENA 187 YA VINIA KWENDA NCHI ZA NJE.

Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Damas Ndumbaro akionesha andiko kwa Wafanyabiashara wa Mazao ya Misitu katika Mkutano  la  Kiwanda cha Edosama Hadware Ltd kinachomilikiwa na  Mtanzania, Edward Maduhu ambacho kimekuwa  kikitengeneza bidhaa mbalimbali hapa hapa nchini hadi hatua za mwisho kwa kutumia vinia, Kulia ni Mkurugenzi wa Misitu na Nyuki wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Dkt. Ezekiel Mwakalukwa, Mkutano huo umefanyika Jijini Dar es Salaam. Baadhi ya Wafanyabaishara wa mazao ya misitu nchini wakimsikiliza Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Damas Ndumbaro  katika mkutano uliofanyika Jijini Dar es Salaam ambapo amewataka Wafanyabishara hao kuleta mashine za kuchakata vinia hadi hatua za mwisho ili kutoa ajiara kwa wananchi wanaozunguka misitu nchini. Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Damas Ndumbaro akizungumza katika mkutano wa Wafanyabiashara wa Mazao ya Misitu ambapo ametoa ruhusa ya kusafirisha vinia kuanzia leo hadi tarehe 30 Juni 2022 kwa vigezo...

Kabudi ndani ya Katavi,apongeza Mkoa kwa uzalishaji mkubwa//Atoa Histori...

KRP yakabidhi Bati 180 na Kilo 50 za Misumari ili kujenga Kituo cha Poli...

Shaka ampongeza Rais Samia//Wenye Ardhi karibu na Mradi wa Bandari ya Ka...

Msako kamata Silaha waja,salimisha kabla ya Novemba 30 unusurike//Peleka...

Utabiri Mvua kiduchu,Wakulima na Wafugaji washauriwa//Uharibifu wa Mazin...

Ongeza Siku na hii,Wasomi lakini mambo yao sasa,Mitindo yote imepigwa ha...

Chuo cha Afya Katavi chazidi kuboreshwa,chafanya Sherehe za Welcome Firs...

Mabilioni ya Rais Samia yanavyowapa jeuri Mpanda//DC kukabidhi Mdarasa D...

Part2: Msanii Gachu akiimba Wimbo wa Todii na Chameleon//Ombi lake kwa R...

Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda yamwaga Mil. 245 kwa Vikundi vya Wanaw...

Maadhimisho ya Magonjwa yasiyoambukiza Katavi yahanikizwa na Mechi//Weny...

Exclusive:Pata Afya ya Mwili kwa Burudani tamu,Gitaa linapigwa usipime//...

Kwa Semina hii,Wanawake Mshindwe wenyewe kudai haki zenu.

Wanawake wakumbushwa Sheria//Ndoa ikivunjika na hakuchangia chochote kwe...

Ukimfanyia hivi Mwanamke akikushitaki Sheria inamlinda//"Ishara ambayo k...

Pesa za UVIKO-19 zilivyo za Moto,Miradi yakataliwa//Usimamizi na Vifaa c...

Maswali magumu ya RC kwa Wanafunzi "Duniani kuna Watu wangapi asiwapende...

Ajiua kwa kujiunguza Moto,114 wakamatwa//Mganga wa Kienyeji kutoka Sumba...

ELIMU KWA JAMII JUU YA LISHE BORA YAHITAJIKA ILI KUPUNGUZA UTAPIAMLO (UDUMAVU).

Picha na Mtandao.                     **********************************************                               Na Irene Temu, Katavi. Ukosefu wa uhamasishaji kwa umma kuhusu huduma za lishe zinazopatikana kwa watoto chini ya umri wa miaka mitano na Mama wajawazito ndio tatizo kubwa la kuendelea kuwa  na utapiamlo. Ambapo ukosefu wa lishe mchanganyiko na bora kwa kila kaya  kutokana na kipato kidogo katika familia huchangia  huku Elimu juu ya lishe ikihitajika. Akizungumza na Mwandisi wa Habari hizi Afisa lishe Mkoa wa Katavi Asnath Mrema alisema kuwa Mwili kupokea virutubishi vya lazima Kama kalori,protini,mafuta,wanga, vitamini na madini uhaba au wingi wa vitu hivyo katika mwili husababisha utapiamlo. Sambamba na kukosa chakula cha kutosha na mtoto kukaa na njaa ya muda mrefu au kushiba bila kujali uwiano wa virutubishi...

Cheki RC agoma kuwajibishwa Kisa Mhandisi //Injinia kabananishwa//Bomoa ...

Ushauri murua kuelekea Sensa Agosti 2022,Meya,Wakurugenzi waeleza faida ...

Historia ya Watoto Yatima inavyo huzunisha//Waumini Kigango cha Kawajens...

Mpango wa Sensa ya Watu na Makazi wazinduliwa//Msiwafiche Walemavu,achen...

Mlele ya Pili ukusanyaji Mapato Taifa,hakuna kulala//"Hatutamfumbia Mach...

Mtumishi wa Afya akumbana na Rungu//Afukuzwa Kazi kwa kosa la kutumia Le...

SERIKALI YAJIPANGA KUKABILIANA NA UHABA WA MAFUTA YA KULA NCHINI.

                                        *******************************************                                     Na Mwandishi wetu.   SERIKALI imejipanga kuhakikisha inaokoa takribani nusu trilioni ya fedha ambazo zimekuwa zikienda nje kila mwaka kwa ajili ya kuagiza mafuta ya kupikia kwa kuja na mbegu za kisasa, kuboresha shughuli za ugani pamoja na tafiti ili kujitosheleza. Akifungua kongamano linalojadili sera za namna Tanzania inavyoweza kujitosheleza kwa mafuta ya kupikia mkoani Dar es Salaam jana, Waziri wa Kilimo, Profesa Adolf Mkenda alisema kiasi hicho kikiokolewa, kitasaidia katika kuchangia uchumi wa ndani na kutengeneza ajira zaidi kwa vijana. "Tunazalisha wastani wa asilimia 45 tu ya mahitaji yetu na tunatumia w...

RC kuichongea SUMA JKT isipewe Miradi,Atoa Mwezi Mmoja Jengo likamilike/...

Katibu Tawala Katavi aagizwa kusimamia malipo ya Wafanyabiashara,Wasamba...

Kisa cha Nyumba Nyeupe kuwa Nyekundu,Balaa lililowakuta Wananchi//Washan...