Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Innocent Bashungwa akijibu maswali ya baadhi ya wabunge wakati wa kikao kati ya watendaji wa Wizara yake na Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma, na Maendeleo ya Jamii leo Oktoba 25, 2021 Bungeni jijini Dodoma. Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma, na Maendeleo ya Jamii, Mhe. Aloyce Kamamba akisisitiza jambo wakati wa kikao baina ya kamati hiyo na watendaji wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo leo Oktoba 25, 2021 Bungeni jijini Dodoma. Katibu Mkuu wa Wizira ya Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Hassan Abbas akizungumza na wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma, na Maendeleo ya Jamii wakati wa kikao baina ya kamati hiyo na Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo leo Oktoba 25, 2021 Bungeni jijini Dodoma. Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma, na Maendeleo ya Jamii wakizungumza kwa nyakati tofauti wakati wa kikao baina ya kamati hiyo na watendaji wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo leo Oktoba 25, 202...