Skip to main content

Posts

Showing posts from April, 2021

KATAVI NA KIGOMA WAUNGANA

JIONEE MWENYEWE BENK YA CRDB YAANDAA FUTARI KWA WATEJA WAKE, BALAA

Wizi wa gunia nne(4) za maharage Mpanda Girls zamchefua RC Homera, aamur...

Rc Aamuru kufungwa Tv shule za Sekondari bweni// Mimba zangu 5

AGIZO KWA WAKURUGENZI,WAKUU WA WILAYA NA WENYEVITI WA H/W//WALIMU WALIPW...

Tumieni kinga msije mkafa wote - DC Jamila

Wanakijiji wasimamisha Msafara wa RC// Wagomea kikao, hawana imani na ri...

Walimu Wala Kiapo mbele ye RC// Wakiferisha wanafunzi washushwe cheo

ABIRIA WAPONGEZA SAFARI ZA MABASI DAR-KATAVI

Abiria Mkoani Katavi wameishukuru Kampuni ya Mabasi Adventure Connection kwa kurudisha safari za mabasi kutoka Katavi kwenda Dar es Salaam ambapo zilisitishwa kwa kipindi cha miaka miwili mfululizo hivyo kupelekea kupata changamoto ya usafiri. Wakizungumza na Site Tv abiria hao wamesema hapo awali kulikuwa na changamoto hasa kwa abiria wanaohitaji kwenda mikoa ya Dodoma, Morogoro,Pwani na Dar es Salaam kutokana na kutokuwepo kwa usafiri wa moja kwa moja hivyo kupelekea kulala Tabora jambo ambalo lilikuwa likiwagharimu muda na fedha nyingi zikiwemo za chakula na malazi. Kwa upande wake Msimamizi wa Kampuni ya Mabasi ya Adventure Connection Tawi la Mpanda Nassor Ally amesema walisitisha safari hizo kwa kipindi cha miaka miwili kutokana na changamoto za uendeshaji pamoja na Miundombinu ya barabara kutokuwa rafiki lakini kwa sasa wamejidhatiti ili kuhakikisha changamoto walizokabiliana nazo hazijitokezi tena. Kadhalika...

RC HOMERA ATOA MAAGIZO KWA MA' DC NA DED KATAVI, WAKISHINDWA WAJIELEZE

Na, Swaum Katambo-Katavi Mkuu wa Mkoa wa Katavi Juma Homera ametoa siku 7 kwa wakuu wa Wilaya na Wakurugenzi wa Halmashauri za Tanganyika,Nsimbo na Mlele kuwasilisha fedha za ujenzi wa Eneo la maonesho ya wakulima Nanenane lililopo Kata ya Kabungu Wilayani Tanganyika. Maagizo hayo yametolewa leo Aprili 19,2021 katika kikao cha wadau wa Sekta ya Kilimo Mkoa wa Katavi kilichofanyika katika Ukumbi wa Idara ya Maji uliopo Manispaa ya Mpanda mara baada ya kupokea taarifa kutoka kwa Afisa Kilimo wa Mkoa Faridu Mtiru alipokuwa akiwasilisha maadhimio yatokanayo katika kikao cha wadau wa Kilimo kilichoketi mnamo Desemba 16,2020. Hata hivyo RC Homera amewaambia Wakuu wa Wilaya pamoja na Wakurugenzi endapo watashindwa kutekeleza agizo hilo waandike maelezo ya kushindwa kutekeleza huku akiwapongeza Manispaa ya Mpanda pamoja na Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe ambao wamekwisha wasilisha fedha zao. Kadhalika katika kikao hicho kilichokutani...

KUTOKA NAFASI 4 KITAIFA TUNAITAFUTA NAMBA 1 MITIHANI YA TAIFA SEKONDARI ...

Serikali Inafanya Tathmini Katika Maeneo yote Yenye Changamoto za Mawasi...

Haya ndo Maneno ya Mrisho Mpoto akiwa Katavi

Nyumba ni Choo ni Siri ya Ushindi, Maisha ni kubalansi// Maneno matupu h...

Maajabu: Kutana na Mbunifu wa Majiko yanayotumia Matofari Kupikia Chakula.

Wananchi wafurika kwenye bucha la nyama pori Katavi//waipongeza Serikali...

KATAVI YAZIDI KUMUENZI HAYATI MAGUFULI NA AGIZO LA NYAMA PORI

Na Swaum Katambo-Katavi Mkoa wa Katavi leo Aprili 14, 2020 umetimiza agizo la aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Dkt John Pombe Magufuli  alipokuwa ziarani Mkoani Katavi mnamo Octoba 10, 2019 ambapo aliagiza uanzishwaji wa mabucha ya nyamapori nchini. Akizindua Bucha hilo la nyamapori Mkuu wa Mkoa wa Katavi Juma Homera ametumia fursa hiyo kuwaasa wananchi kutojihusisha na matukio ya ujangili kwani kufanya hivyo ni kinyume cha sheria huku akitaja bei elekezi ya nyama hizo kuwa ni shilingi 8000 kwa kilo moja. Kwa upande wake meneja wa Pori la Akiba (TAWA) Mkoa wa Rukwa Baraka Balagaye amesema wako tayari kushirikiana na wananchi watakaohitaji kufunga mabucha ya nyamapori ikiwa ni pamoja na kutoa miongozo isiyo na masharti magumu. Hata hivyo Mmiliki wa Bucha lililozinduliwa Ndugu Vedasto Magaba ameishukuru Serikali na Taasisi mbalimbali kwa ajili ya kufanikisha adhma ya kufungua Bucha la nyamapori ikiwa ni Bucha la kwanza kwa Mkoa wa Katavi tangu tamko la Hayati ...

Uwindaji haramu Katavi sasa basi // Majangili waonywa

Naibu Waziri Mary Masanja-Swala La Uhifadhi Ni Wajibu Wa Kila Mtu

Tazama Uzinduzi wa Bucha la Nyama Pori Katavi

Mbunge Kunambi Aichambua Hotuba ya Waziri Mkuu, JPM Aliwekeza Kwenye Mae...

Tuwekeze Kwenye Sekta ya Elimu Ili Tufikie Malengo//Mipango ni Mizuri Tu...

MAJALIWA- SERIKALI IMETUMIA SH BILIONI 166 17 KUGHARIMIA ELIMU MSINGI

WAZIRI MKUU AAGIZA WATAALAM WA MICHEZO WAENDELEZWE

Mbunge Lusinde Akiwasha Bungeni Hatuwezi Kukubali Wanaomsema Vibaya Haya...

Wizara Tumejipanga Lazima Maeneo Yote Maji Yafike Bombani -Mhe Maryprisc...

Ratiba ya Shughuli za Bunge Yabadilika Kupisha Mwezi Mtukufu wa Ramadhan...

Namna Bora ya Kumuenzi Mwalimu Nyerere na JPM ni kuanza kutenda -Mbunge ...

Mbunge Judith kapinga Atema cheche Bungeni//Tunapokonya Watu Pasina Kuli...

Zana za Kilimo, Teknolojia na Tija Nchini Bado ni Tatizo Tuchukue Hatua ...

Tufanye mabadiliko ya kina kwenye mfumo wa elimu -Mbunge Rose Tweve

MAFANIKIO YA RUWASA YAOKOA NDOA ZA WANA KATAVI-RC HOMERA

Mkuu wa Mkoa wa Katavi Juma Homera Na Swaum Katambo-Katavi Wakala wa Usambazaji Maji na Usafi na Mazingira Vijijini RUWASA (Rural Water Supply and Sanitation Agency) ilianzishwa kwa Sheria Na. 5 ya Huduma za Maji na Usafi wa Mazingira ya Mwaka 2019 na ilianza kufanya kazi rasmi mwezi Julai, 2019 na Tangu kuanzishwa kwake Nchini imepata mafanikio makubwa hususani katika Mkoa wa Katavi. Kabla ya RUWASA kuanza kazi yake Mkoa wa Katavi ulikuwa ukipata maji kwa 42% lakini mpaka sasa imefanikiwa kuongeza 28% na kufikia kuwa na 70% za upatikanaji wa Maji safi na Salama hivyo kupelekea kuhudumia zaidi ya wakazi 500,000 wa Mkoa wa Katavi kwa kipindi cha mwaka mmoja. Katika mahojiano maalumu na Mkuu wa Mkoa wa Katavi Juma Homera amebainisha baadhi ya Miradi ambayo imetekelezwa kwa kiwango kikubwa ambayo ni Mradi wa Ikolongo II unaotekelezwa kwa zaidi ya Bilioni 3 ambao unasambaza maji katika Wilaya ya Mpanda ukisaidiana na Miradi ya inayoendelea katika Halmashauri ya Nsimbo ikiwemo Manga-Kasokol...

PART 3: KUFANYIWA JANDO (TOHARA) NI MKOSI- MZEE MLANDA NA ENZI ZA KALE

KUMEKUCHA; WAKURUGENZI WAPEWA SIKU 7

PART 2: ''MWANAMKE AKIMUONA MWANAUME ANAKIMBIA''- MZEE MLANDA NA YA KALE

Mfumo Wa Elimu Hausaidii Vijana Kujiajiri//Lazima kuwa Na Tuwe na Agenda...

Huu Hapa Mpango wa Serikali Kuboresha Barabara Katika Hifadhi mbalimbali...

PART 1: MAISHA YA KALE NA MZEE MLANDA ''TULIKUA HATUVAI NGUO''

MKUTANO WA NCHI WAZALISHAJI MADINI YA ALMASI WAMALIZIKA DODOMA, KISWAHIL...

AGIZO ZITO LA WAZIRI BASHUNGWA ONLINE TV ZOTE ZIFUNGULIWE HARAKA

BROTHER K AVULIWA NGUO ADHARANI UBISHI WAMPONZA

Tumekusudia Kuifanya Tanzania Kuwa Hub ya Biashara ya Madini -Waziri Biteko

WAZIRI MKUU ATANGAZA MWISHO WA MAOMBOLEZO YA KIFO CHA HAYATI DKT JOHN MA...

WAKULIMA WAHAMASIKA KULIMA MAZAO, TATIZO MASOKO

Asali Bora Inayozalishwa Mlele-Katavi//Rc Homera Amtembelea Muwekezaji