Skip to main content

TANGA YAJIDHATITI NA MAPAMBANO DHIDI YA COVID 19



 
Mkuu wa Mkoa wa Tanga Martin Shigella akipokea Matanki matano kutoka wa wadau wa mapambano ya COVID 19 jijini humo


Na Mwandishi Wetu
      Tanga

MKUU wa Mkoa wa Tanga Martin Shigella amepokea vifaa vya kujikinga na ugongwa wa COVID 19 ikiwa sambamba na kuwataka wafanyabiashara wengine kuguswa na kuchangia vifaa vya usafi ili kuhakikisha wanadhibiti na kuchukua hatadhati za kujikinga na ugonjwa huo.

Kauli hiyo ameitoa wakati akipokea msaada wa mataki matano ya ujazwa wa lita mia tano kila moja kutoka kampuni ya vifaa vya ujenzi ya Hussain Plastic Industry ya jijini hapa.

Shigella amasema bado kunauhitaji mkubwa wa vifaa kwa ajili ya kusabazwa  kwenye maeneo mengine ya mkoani Tanga ili wananchi waweze kujikinga na COVID 19 kupitia kunawa mikono kwa maji safi yanyotiririka .

Mkurugenzi wa Kampuni hiyo Hussein Yusuph amesema kuwa wameamua kutoa msaada huo ili kuuga juhudi juhudiza serikali katika mapambano katika kukabiliana na ugonjwa huo

Hata hivyo ametoa wito kwa wananchi wengine wenye uwezo wa kuguswa na tatizo hilo wapatwe na msukumo wa kutoa msaada ili kuenndelea kujikinga virusi vya Corona visivyo na mashika.

“Sisi kama sehemu ya jamii ya Tanga tumeona tuugane na serikali katika kuhakikisha tunashirikiana kuchukua tahadhari dhidi ya COVID 19”alisisitiza Yusuph.

Aidha baadhi ya wakazi wa Jiji hilo Athony Charles na Aisha Ramadhani wameipongeza serikali ya Mkoa kwa kuendelea na juhudi za kuwaelimisha wananchi kujikinga na ugojwa huo hatari. 

Comments

Popular posts from this blog

WAJASIRIAMALI MPANDA WAILILIA SERIKALI KUCHELEWA UPATIKANAJI WA VITAMBULISHO

Na Swaumu Katambo, Katavi W afanyabiashara wadogo   katika stendi ya mabasi M izengo P inda wameiomba S erikali kuharakisha ugawaji wa vitambulisho ili kuep u kana na adha ya kulipa ushuru wa H almashauri ambao una   gharama  kubwa. W akizungumza na Site Tv  wajasiriamali M jini M panda wame i lalamikia H almashauri ya M anispaa ya M panda kuwatoza ushuru pasipo kuwa na utaratibu wowote . Mkurugenzi wa M anispaa ya M panda M ichael N zyungu amesema kuwa adha hiyo imetokana na kuchele we shwa kwa vitambulisho na amewataka wajasiriamali kuwa na uvumilivu katika kipindi hiki. Vitambulisho vya ujasiriamali vilianzishwa na serikali maalumu kwa kuwasaidia wafanya   biashara wadogo kutoa huduma bila bugdha yoyote . MWISHO

Tufanye mabadiliko ya kina kwenye mfumo wa elimu -Mbunge Rose Tweve

KANISA KATOLIKI PAROKIA YA INYONGA LAFANYA MISA MAALUMU KUMUOMBEA DKT MAGUFULI, DC JAMILA ASISITIZA KUMUENZI KWA VITENDO

Mkuu wa Wilaya ya Mpanda  ambaye pia ni  Kaimu Mkuu wa Wilaya ya Mlele  Mhe  Jamila Yusu ph akisisitiza jambo wakati  akizungumza kwenye Misa Maalumu katika Kanisa Katoliki Parokia ya Inyonga ya Kumuombea Hayati Dkt John Pombe Magufuli, tarehe 24 Machi 2021. Mkuu wa Wilaya ya Mpanda  ambaye pia ni  Kaimu Mkuu wa Wilaya ya Mlele  Mhe  Jamila Yusu ph akiwa katika picha ya pamoja na Viongozi mbalimbali wa Kanisa katoliki Parokia ya inyonga mara baada ya kumalizika  Misa Maalumu ya Kumuombea Hayati Dkt John Pombe Magufuli, tarehe 24 Machi 2021. Kiongozi wa Kanisa Katoliki Parokia ya Inyonga Padri  Maricelo Butoyi akiongoza Misa Maalumu ya  kumuombea Hayati Dkt John Pombe Magufuli, tarehe 24 Machi 2021. Sehemu ya waumini wa Kanisa Katoliki Parokia ya Inyonga wakifuatilia ibada Maalumu ya Kumuombea Hayati Dkt John Pombe Magufuli, tarehe 24 Machi 2021. Sehemu ya waumini wa Kanisa Katoliki Parokia ya Inyonga wakifuatilia ibada Maalumu ...