Skip to main content

Posts

KATAVI: KIPAJI CHAKE HAKIFICHIKI,SIO SIRI HUYU JAMAA NOMA,AOMBA WADAU WA MUZIKI WAMSAPOTI

TAKUKURU MNAMENO MAKALI SANA, MSIOGOPE KUNG'ATA, NG'ATENI BILA WOGA, NG'...

TCRA YAOMBA HALMASHAURI NCHINI KUTUMIA FURSA ZA KUFUNGUA ANUNI ZA MAKAZI.

Na Mwandishi Wetu.Katavi. Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imeziomba Halmashauri zote nchini kutumia fursa za kufungua anuani za makazi (Post Code) ili kuboresha maisha ya wananchi kupitia huduma za mawasiliano. Kauli hiyo imetolewa hapo jana kwenye semina ya siku moja katika ukumbi wa Idara ya maji Manispaa ya Mpanda Mkoa wa Katavi na Mhadisi wa Mamlaka hiyo kanda za Nyanda za Juu Kusini,Charles Thomas alipokuwa akizungumza na watumishi wa umma wa Halmashauri ya Wilaya ya Tanganyika Mkoani humo. Mhandisi Charles aliziomba halmashauri kuwa kitendo cha  kufunguliwa wa anuani za makazi kwenye halmashauri zitachochea ukuaji katika sekta ya mawailiano nchini ikiwa pamoja kutumia fursa  za tehema hasa mkongo wa taifa wa mawasiliano kwa maendeleo. Akifafanua umuhimu wa anuani za makazi kwa Halmashauri Mhadisi huy o alibainisha kuwa zitaweza kusadia katika ukusanyaji wa mapato yatokanayo na kodi kwa wananchi kwani watakuwa na takwimu halisia za anuani za ...

ETC AGRO TRACTOR NA CRDB KUKUZA KILIMO CHENYE TIJA KATAVI.

Na Mwandishi Wetu,       Katavi. Wakulima Mkoa wa Katavi wameombwa kuachana na kilimo cha mazoea ambacho hakimkomboi   mkulima kiuchumi na badala yake kumfanya kuzalisha mazao ya chakula na biashara yasiyokuwa na tija huku yakimwacha masikini. Kauli hiyo imetolewa jana kwenye ukumbi wa Idara ya Maji Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi na Afsa Masoko na Mauzo wa ETC Agro Tractor,Zahra Salum wakati akizungumza na wadau wa kilimo mkoani humo ambapo aliwaambia kuwa kilimo pekee chenye tija kitamkomboa mkulima kutoka kwenye umasikini. Zahra aliweka wazi kuwa kwa kutambua juhudi zinazofanywa na serikali ya awamu ya tano chini ya rais Dkt John Magufuli ya kuadaa sera madhubuti za kuhakikisha sekta ya kilimo inakua kwa kasi na kumfanya mkulima kupiga hatua za maendeleo ya kiuchumi ndio zimeifanya Kampuni ya ETC Agro Tractor kwa kushirikiana na Benki ya CRDB Tawi la Mpanda kuandaa mfumo ambao utamfanya mkulima kupata zana za kilimo za kisasa, ...

HEKARI 4000 ZIMERUDI KWA WACHIMBAJI WADOGO WA MADINI,CHIMBA SHIMO HUKU U...

MWANZO MWISHO ONA HII WAGOMBEA UBUNGE WATEULE WA CCM WACHUKUA FOMU ,SEBA...

HITIMISHO LA MKUTANO WA WADAU WA ELIMU KATAVI,WAKUBALIANA KUONGEZA UFAUL...