Kulia, Mhandisi Mwinchuma Tengeneza akimkabidhi kablasha la eneo la kazi ya Ujenzi na Ukarabati wa miundombinu, katika skimu ya kilimo cha Umwagiliaji Idudumo mwakilishi wa Kampuni ya Ujenzi ya Explicit Main Constructors Ltd Bw. Basil Clement (kushoto). Picha Ikionesha eneo la Utoro wa Maji katika Bwawa la Idudumo ambalo litavyunjwa na kunjengwa upya. Wa pili kutoka kulia, Meneja Mradi wa Ujenzi na Ukarabati wa Skimu ya Umwagiliaji Idudumo Bw. Juma Kibori akiwaonesha wawakilishi wa viongozi wa Halmashauri ya Nzega mji na wataalam ramani ya ujenzi na ukarabati wa neo la mradi. Picha ikionesha sehemu ya eneo la Bwawa Idudumo, ambalo litafanyiwa ukarabati katika awamu nyingine ya mradi. ************************************************ ...