Skip to main content

Posts

Showing posts from February, 2020

JPM AONGOZA KIKAO CHA KAMATI KUU YA CHAMA CHA MAPINDUZI OFISI NDOGO YA CCM MTAA WA LUMUMBA JIJINI DAR ES SALAAM/AKUTANA NA MASHINJI

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Rais wa Jamhiri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiongoza Kikao cha Kamati Kuu ya CCM kilichofanyika Ofisi Ndogo ya chama hicho tawala mtaa wa Lumumba jijini Dar es salaam leo Februari 28, 2020 Viongozi waandamizi watano kutoka vyama vya upinzani wakitambulishwa na kupokelewa rasmi kuwa wana CCM mbele ya Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Rais wa Jamhiri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli na wajumbe wa Kikao cha Kamati Kuu ya CCM kilichofanyika Ofisi Ndogo ya chama hicho tawala mtaa wa Lumumba jijini Dar es salaam leo Februari 28, 2020. Kutoka kushoto ni aliyekuwa Katibu Mkuu wa CHADEMA Dkt. Vincent Mashinji, aliyekuwa Meya wa jiji la Arusha kupitia CHADEMA Bw. Kalisti Lazaro,  aliyekuwa Meya wa Jiji la Mbeya kupitia tiketi ya CHADEMA Mchungaji David Mwashilindi, aliyekuwa Mbunge wa Tandahimba kupitia CUF, Bw. Katani Ahmed Katani na aliyekuwa Naibu Meya wa Jiji la Mbeya kupitia tiketi ya CHADEMA Bw. Fan...

TWENZETU KATAVI

Twenzetu Kutalii nyote mnakaribishwa kinyumbani zaidi

POLISI KATAVI WAMEWAKAMATA WAHALIFU NA SILAHA ZA KUTISHA

Mkoa wa Katavi wakamata wahalifu wa ujangili 17 wa mbao na Nyamapori Raia wa Burundi na silaha 50 aina ya SGM 13,G3 idadi 3,Rifle 1 na Gobole 33 na kubaini mafundi wanao tengeneza Silaha aina ya Gobole eneo la Katumba na mishamo katika makazi ya Raia wapya kutoka Burundi waliopewa uraia na mbali na silaha lisasi 28 zimekamatwa, kamba za kutegea wanyama zaidi ya 20, Akizungumza mkuu wa mkoa wa Katavi Comrade Juma Zuberi Homera kwamba, oparesheni hiyo iliyodumu Siku 21 ilijumuisha vyombo mbalimbali vya ulinzi na usalama kwa kushirikiana na taskforce ya mkoa huo. Author : Mkutubi26 Publisher : Pizo