Skip to main content

Posts

Ufafanuzi namna Mitambo ya Uchunguzi na Tiba ya Magonjwa ya Moyo (JKCI) ...

"Yule Fundi yuko wapi,Kale kulee"-Rais Samia//Mitambo ya Uchunguzi na Ti...

Wanne wavamiwa Mkoani Katavi//Zaidi ya Milioni 5 za Porwa.

MPANGO WA UBORESHAJI KILIMO CHA UMWAGILIAJI, KATAVI BADO CHANGAMOTO.

Mkulima Mdogo, Emmanuel Ramadhan. Ramadhan Nyembe Mkulima Kijiji cha Majalila. Baadhi ya Wakulima wakivuna Mpunga. Magunia ya Mpunga. PICHA  NA ZAINAB MTIMA,Site Tv Na.Swaum Katambo, Tanganyika-Katavi. Licha ya Serikali kuwekeza zaidi ya Bilioni 5 kwa ajili ya Skimu tatu za Umwagiliaji zilizopo Wilayani Mpanda ambazo ni Ugala,Mwamkulu na Uruila,Mkoa wa Katavi hauna Skimu iliyokamilika pamoja na kuwa Mpango wa Serikali wa Mwaka 2021/22 ni kuboresha Kilimo cha Umwagiliaji Nchini. Hayo yanakuja mara baada ya Wakulima katika Kijiji cha Majalila Kata ya Tongwe Wilayani Tanganyika Mkoani Katavi kusikiliza Hotuba aliyoitoa Waziri wa Fedha na Mipango Mhe.Mwigulu Nchemba kuhusu Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2021/22 katika Sekta ya Kilimo kuwa Maeneo yatakayopewa msukumo ni pamoja na ujenzi na ukarabati wa miundombinu ya umwagiliaji. "Kwa bajeti iliyosomwa inaonekana wakulima inatuinua,Serikali imetuangalia kwa macho mawili labda tusubiri utekelezaji kwa sababu yanayosemwa ni mazuri...

USIYOYAJUA KUHUSU HIFADHI YA GESIMASOWA SONGEA,NDEGE ANAYESAFIRI DUNIA NZIMA HUPUMZIKA HAPA.

Ndani ya Hifadhi ya Gesimasowa iliyopo Halmashauri ya Madaba Wilayani Songea Mkoani Ruvuma. Ndege maarufu Duniani  mwenye uwezo wa kusafiri toka Bara Moja kwenda Bara jingine anayefahamika kwa Jina la Derhams anapumzika kwa muda ndani ya Hifadhi ya Gesimasowa kabla ya kuendelea na safari. Samaki aina ya Mbelele na Mbasa ambao huzaliana katika maingilio ya Mto Ruhuhu ndani ya Hifadhi ya Gesimasowa,kisha hushuka hadi Ziwa Nyasa. Milima ya livingistone mwambao mwa ziwa Nyasa eneo la Chiwindi ambapo pia ndege hao wanapumzika kwa muda na kuendelea na safari. Mkuu wa Wilaya ya Songea Pololet Mgema akizungumza  ndani ya hifadhi ya Gesimasowa. Na Afisa Habari Mkoa wa Ruvuma. Mkoa wa Ruvuma ni miongoni mwa mikoa nchini ambayo imebarikiwa kwa kuwa na neema ya vivutio lukuki na adimu vya utalii wa ikolojia na kiutamaduni. Hifadhi ya Gesimasowa yenye ukubwa wa kilometa za mraba zaidi ya 760 ambayo ipo katika Halmashauri ya Madaba Wilaya ya Songea,ni miongoni mwa vivutio adimu vya utalii....

"Tutafanya kikao cha kusikiliza kero Sugu,Hata kama Serikali tunadaiwa n...

Wenyeviti wa Mitaa Katavi waandamana wakipinga Ujira Kiduchu//Wamlilia R...