Skip to main content

Posts

Showing posts from December, 2021

Spika Ndugai apishana na Rais Nchi kukopa,adai Deni lilipofikia Nchi ita...

Vijana wa Kazi:''Lock Steling Nyororo Piga,Usiuamini Mlango,Pikipiki Kuk...

Wavamizi vyanzo vya Maji Dawa inachemka//"Hilo ni Onyo,waanze kuondoka w...

Kauli ya Rais kuhusu kukopa "Kuna jitihada za kutuvunja Moyo,tutakopa tu...

Msanii Baby Madaha kwa hisia akiimba wimbo wake wa AMORE,Jamaa ajisikia ...

Msanii Joti na Mbwe mbwe zake atokwa Machozi,Hakutarajia Kupata Tuzo//Mk...

Godliver Mshindi wa Tuzo ya Muigizaji bora Mwanamke Tanzania//Wadada was...

Stesheni ya Mpanda kama Bwawa la kuogelea,Waitara atoa Siku 14 Mkurugenz...

TANROADS Katavi wapongezwa usimamizi mzuri wa Ujenzi wa Barabara ya Mpan...

EXCLUSIVE: JB Azungumza na SITE TV, Afunguka yote Usiku wa TUZO Jijini M...

Mzuka wa Muigizaji Nawanda,Ushindi Raha// ''Niliambiwa nitashinda Tuzo 1...

Kijana wa JB Ashinda TUZO, ashindwa Kujuzuia Aangua Kilio// Mheshimu kil...

Usiku wa Tuzo: Waziri na RC wapeana kongole kufanikisha,haijawahi tokea/...

Tuzo za Filamu,ushindi raha//Shangwe la Wasanii baada ya Washindi kutang...

Maelekezo kwa Wakurugenzi Nchini//Kila Sh.Mia Moja,Sh.Sitini ielekezwe k...

Namna RC Homera alivyoguswa Wasanii kuibiwa,Maisha yao magumu//Aziomba M...

Mkandarasi Apewa Onyo Kisa Mil.200//''Wali mtamu sana kwa Maini lakini U...

Mvutano,kauli ya Zitto iliyomuibua Tundu Lissu//Ni kuhusu Mbowe,asema ni...

Maji hayana mbadala//"Mungu hawezi kukupa Ziwa halafu akaendelea kukupa ...

Mbunge Polepole yamkuta mazito,Nyumba yavamiwa//Hali ilivyo ndani,awashu...

Vijana Wazee,usivunje mbavu kisa nini//Watoto watundu,zilipendwa raha bw...

Mahitaji ya zaidi ya Laki 6 yatolewa kwa Watoto Yatima//Jamii,Taasisi na...

Mateso ya Waafrika enzi za Ukoloni,inasikitisha walivyofungwa Kamba na k...

Watumia Vyandarua kufugia Kuku na kuzungushia Bustani waonywa//Ukikamatw...

Kuelekea Miaka 60 ya Uhuru Wazee wafunguka,Historia ya Vikombe//Kujilimb...

Mbeya kusambazwa Taa kudhibiti wakabaji//Biashara Usiku na Mchana,tunata...

Uzinduzi Kiwanda cha Vifaa vya Umeme,Rais Samia amkumbuka JPM "alisukuma...

Wimbi la 4 la UVIKO-19,Watanzania watakiwa kuchukua tahadhari//Rais Sami...

LIGI KUU KUNA MAMBO YA HOVYO YANAENDELEA, TFF CHUKUENI HATUA-WAZIRI BASHUNGWA.

Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Innocent Bashungwa akizungumza jambo katika Mashindano ya Michezo na Sanaa Vyuo vya Ualimu yaliyofanyika Kitaifa Mkoani Mtwara. Mashindano yakiendelea huku Mashabiki wakifatilia.                          *****************************************************                                         Na,Mwandishi Wetu. Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Innocent Bashungwa amelitaka Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania TFF kuwachukulia hatua waamuzi wa mpira wanao onekana kufanya mambo ya hovyo katika ligi kuu ya Tanzania inayoendelea. Waziri Bashungwa ametoa agizo hilo jana Desemba 05, 2021, wakati akiongea na waandishi wa habari mkoani Mtwara katika kilele cha mashindano ya kitaifa ya Michezo na Sanaa ya vyuo vya ualimu UMISAVUTA yaliyofanyika mko...

Bashungwa awawakia Waamuzi "Kuna mambo ya hovyo"//TFF chukueni hatua,nik...

Roho za Viongozi Mikononi mwa Mafundi Miradi ya UVIKO-19//Tanganyika wah...

Mvua ya Upepo yaua Mtoto huku Kaya zaid ya 50 zikibomolewa Makazi Kashe...

Jela Miaka 20 na faini ya zaidi ya Tsh. Bilioni 1 kwa kukamatwa na Heroi...

MAFANIKIO YA MIAKA SITINI YA UHURU KATIKA SEKTA YA KILIMO CHA UMWAGILIAJI.

Pichani Kaimu Mkurugenzi Mkuu Tume ya Taifa ya Umwagiliaji Bw. Daudi Kaali akizungumza na waandishi wa Habari hawapo pichani, Ofisini kwake jijini Dodoma mapema leo, kuhusu Mafanikio katika sekta ya kilimo cha umwagiliaji ndani ya kipindi cha miaka sitini ya uhuru. Na,Mwanshi Wetu. Kuhusu Tume ya Taifa ya Umwagiliaji; Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Sera ya umwagiliaji ya Taifa ya Mwaka 2010, ilitoa Mwongozo wa kuwepo kwa mambo mahususi kwenye uendelezwaji wa sekta ya Umwagiliaji pamoja na mambo mengine ni kuwa na chombo cha kuboresha na kusimamia sekta ya umwagiliaji nchini. Kilimo cha umwagiliaji kilianzia mkoani Arusha enzi za ukoloni, na baada ya Uhuru serikali iliendeleza mikakati mbalimbali ndipo mipango mahuhusi ilianzishwa chini ya wizara husika kama Wizara ya maji na kilimo. Ameeleza Bwana Daudi Kaali, Kaimu Mkurugenzi Mkuu Tume ya Taifa ya Umwagiliaji. Akiongea Ofisini kwake Mwanasheria wa Tume ya Taifa ya Umwagiliaji, Bw. Godwin Mutahangarwa, alisema kat...

Afya,UKIMWI//Ukipima mara kwa mara wanahisi Malaya,tumia Mpira//Kiongozi...