Skip to main content

Posts

Showing posts from February, 2021

Maonesho ya wajasiriamali Katavi mambo ni moto

Tazama ujasiri wa Mratibu Elimu Kata, Amsweka ndani Mama Mkwe, Kisa hiki...

RC HOMERA ABAINISHA UZINDUZI WA KITABU CHA MWONGOZO WA UWEKEZAJI MKOANI KATAVI

Mkuu wa Mkoa wa Katavi Mhe Juma Homera akisisitiza jambo wakati akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake leo tarehe 27 Machi 2020. Sehemu ya waandishi wa habari mkoani Katavi wakimsikiliza Mkuu wa Mkoa wa Katavi Mhe Juma Homera akisisitiza jambo ofisini kwake leo tarehe 27 Machi 2020. Mkoa wa Katavi umejipanga kuzindua kitabu cha Uwekezaji “KATAVI INVESTIMENT GUIDE” utakaofanyika katika Ukumbi mpya wa Manispaa ya Mpanda tarehe 3 Machi 2020. Mkuu wa Mkoa wa Katavi Mhe Juma Homera amebainisha hayo wakati akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake leo tarehe 27 Machi 2020. Amesema kuwa mgeni rasmi katika uzinduzi wa kitabu hicho anatarajiwa kuwa Waziri Mkuu Mhe Kassim Majaliwa huku lengo la uzinduzi wa kitabu hicho   ikiwa ni kuhakikisha serikali ya mkoa wa Katavi i nakuwa na nyenzo muhimu ya kujenga uchumi . Homera amesema  kuwa kufuatia uzinduliwa  kwa kitabu hicho wawekezaji na wadau mbalimbali watapata fursa ya kuzitambua fursa zilizopo katika mkoa wa Katav...

NGOZI YA SAMAKI KUTENGENEZA KIATU

ONA TUMBAKU ILIVYO DILI

KILIO CHA WANAKIJIJI CHAFUTWA MACHOZI

WENYE NOTI BANDIA KUKIONA CHAMTEMAKUNI - KATAVI

NATEKELEZA NILIYO YA AHIDI- ANNA LUPEMBE

BABU WA MIAKA 101 AOMBA HURUMA YA VIONGOZI.

MBUNGE APANIA KUIBUA VIPAJI KWA VIJANA

MH. RAIS KANIPA MIL. 50 | MB. NSIMBO

RC KATAVI;HATUNA SHIDA YA CHAKULA