Skip to main content

Posts

DKT. CHAULA AZUNGUMZIA ELIMU YA AFYA YA UZAZI KWA MTOTO WA KIKE.

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Dkt. Zainab Chaula (katikati) akizungumza wakati wa hafla fupi ya kuzindua tovuti ya shirika lisilo la Serikali la Action Girls Foundation, jijini Dodoma. Katibu Mkuu wa Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Dkt. Zainab Chaula (katikati), Mkurugenzi Msaidizi wa Usalama Mtandao wa Wizara hiyo Eng. Steven Wangwe (kushoto mstari wa nyuma) Mkurugenzi wa Shirika hilo Rabia Saad (kushoto mstari wa mbele), Mkurugenzi wa Huduma za Afya na Lishe wa TAMISEMI, Dkt. Ntuli Kapologwe (wa pili kulia) na wakifurahia baada ya uzinduzi wa tovuti ya shirika lisilo la Serikali la Action Girls Foundation, jijini  Dodoma. Mkurugenzi wa Shirika lisilo la Kiserikali la Action Girls Foundation, Bi. Rabia Saad akitoa wasilisho fupi wakati wa hafla ya uzinduzi wa tovuti ya shirika hilo iliyofanyika jijini Dodoma. Mkurugenzi wa Huduma za Afya na Lishe wa TAMISEMI Dkt. Ntuli Kapologwe ambaye pia ni mjumbe wa bodi ya Shirika lisilo la Kiserika...

Ombi Maalum kwa Rais Samia, Katavi kuongezewa Pesa/Waipongeza Serikali k...

Uwezo wa Askari wa TANAPA wakilenga shabaha//Mazoezi ya Kikomandoo juu y...

RC Katavi azindua Soko la Mahindi,Vituo na Bei hadharani//Wakulima wadog...

Kilio na simanzi Askari alie uwawa na Hamza Jijini Dar//Uchungu wa Askar...

Silaha ya Kivita AK47 yapatikana Katavi//Watuhumiwa wa Pembe za Ndovu wa...

Salaamu za IGP Siro kwa Askari alieuwawa Katavi//Miaka 26,Wasifu wake hu...